Mkuu naachaje kuisikiliza ..tangu jana imekuwa ina barizi tu masikioni mwangu
Mkuu tupiamo uku tuipakue.Mkuu naachaje kuisikiliza ..tangu jana imekuwa ina barizi tu masikioni mwangu
Jamaa kaumiza sana alivyo amua kutumia sample ya zile code za muziki wa zamani ...nimatata Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Angefanya alikiba .... wabongo wangemtukana matusi yoteYaani kwenye hiyo video criss na video vixen wake wamevaa nguo 1, tu ... lakini video imekuwa bomba sio masihara
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu ...wangesema kwamba hajui kuvaa " .... kumbe tu ni maudhui ya video yenyewe inaonyesha kuwa ni tukio la siku moja
Haujaitwa hapa lakini !Ckumbuk kwa mara ya mwisho mwaka gn kuskiliza ngoma za kitoto
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yeah jamaa ni music geniusChris Brown anadondosha ngoma kila mwezi. Jamaa yuko busy na studio kinoma.