Wale Vipanga wa Form 4 & Six wanaokuwa kumi bora huwa wanakwenda wapi? Wangetusaidia kwenye kesi za Usuluhushi

Wale Vipanga wa Form 4 & Six wanaokuwa kumi bora huwa wanakwenda wapi? Wangetusaidia kwenye kesi za Usuluhushi

Nimekuwa nikijiuliza mara nyingi hivi hawa vijana wanaoshika nafasi za juu kwenye matokeo ya kidato cha Nne na Sita ambao kimsingi huwa na ufaulu wa Division 1.7 kwa Form Four na 1.3 kwa Form 6 huwa wanaishia wapi? Kwasababu najua kuna wengine huwa wanasoma Sheria, kwanini wasingekuwa wanapelekwa kwenye kesi kma hizi za usuluhusi na makampuni ya wazungu ambayo kila siku tunashindwa kesi.

Wenzetu kwenye kesi kama hizo huwa wanapeleka vichwa hasa ile cream yenyewe iliyofaulu vizuri kuanzia sekondari mpaka chuo kikuu.

Vinginevyo labda elimu yetu ina mapungufu au kukariri sana kiasi kwamba hatuwezi kuona impact ya wale vipanga wetu.
Inaonekana una chuki nao sana baada ya wewe kupata dvn 4 nao wakapata dvn 1.
Hiyo chuki na husuda uliyobeba kifuani kwako juu ya vipanga iachilie. Utaishi kwa masononeko mpk kesho kutwa.
 
Si nasikiaga na John Mnyika ndio hao unaowazungumzia hapa.Div 1.7..
Bongo elimu hii ina tundu kubwa sanaaaa
Wenzako wanasoma, wewe upo gheto unavuta bangi na matokeo yake wao wanapata dvn 1, wewe dv 4.
Kwa masoneneko hayo unajenga chuki ya miaka mpka unaita vipanga wakusaidie ikiwa ww hauna msaada wowote kwnye nchi yako.
Hujui km kila mtu alienda kusoma kwa kitu alichopenda, mwingine sheria, udaktari, ualimu, uruban n.k na wengine wapo nje ya nchi.
Umesahau kuwa kila kitu kipo kwa kanuni na taaratibu maalumu kulingana na vyeo. Huwezi kutoka tu sehemu na kudandia mkataba ambao mwanzoni hukushirikishwa wala haupo kwenye vyeo.
Ile tabia yako ya kuvuta bangi, kutoroka shule, kupiga walimu, kuongea bila kufikiri, kuwaza pasipo kujiuliza umeenda nayo mpk ukubwani.
Ungesoma na wewe ukawa kipanga wala usingehangaika kuwaita wakusaidie
 
Nimekuwa nikijiuliza mara nyingi hivi hawa vijana wanaoshika nafasi za juu kwenye matokeo ya kidato cha Nne na Sita ambao kimsingi huwa na ufaulu wa Division 1.7 kwa Form Four na 1.3 kwa Form 6 huwa wanaishia wapi? Kwasababu najua kuna wengine huwa wanasoma Sheria, kwanini wasingekuwa wanapelekwa kwenye kesi kma hizi za usuluhusi na makampuni ya wazungu ambayo kila siku tunashindwa kesi.

Wenzetu kwenye kesi kama hizo huwa wanapeleka vichwa hasa ile cream yenyewe iliyofaulu vizuri kuanzia sekondari mpaka chuo kikuu.

Vinginevyo labda elimu yetu ina mapungufu au kukariri sana kiasi kwamba hatuwezi kuona impact ya wale vipanga wetu.
Wenzako wanasoma, wewe upo gheto unavuta bangi na matokeo yake wao wanapata dvn 1, wewe dv 4.
Kwa masoneneko hayo unajenga chuki ya miaka mpka unaita vipanga wakusaidie ikiwa ww hauna msaada wowote kwnye nchi yako.
Hujui km kila mtu alienda kusoma kwa kitu alichopenda, mwingine sheria, udaktari, ualimu, uruban n.k na wengine wapo nje ya nchi.
Umesahau kuwa kila kitu kipo kwa kanuni na taaratibu maalumu kulingana na vyeo. Huwezi kutoka tu sehemu na kudandia mkataba ambao mwanzoni hukushirikishwa wala haupo kwenye vyeo.
Ile tabia yako ya kuvuta bangi, kutoroka shule, kupiga walimu, kuongea bila kufikiri, kuwaza pasipo kujiuliza umeenda nayo mpk ukubwani.
Ungesoma na wewe ukawa kipanga wala usingehangaika kuwaita wakusaidie
 
Wenzako wanasoma, wewe upo gheto unavuta bangi na matokeo yake wao wanapata dvn 1, wewe dv 4.
Kwa masoneneko hayo unajenga chuki ya miaka mpka unaita vipanga wakusaidie ikiwa ww hauna msaada wowote kwnye nchi yako.
Hujui km kila mtu alienda kusoma kwa kitu alichopenda, mwingine sheria, udaktari, ualimu, uruban n.k na wengine wapo nje ya nchi.
Umesahau kuwa kila kitu kipo kwa kanuni na taaratibu maalumu kulingana na vyeo. Huwezi kutoka tu sehemu na kudandia mkataba ambao mwanzoni hukushirikishwa wala haupo kwenye vyeo.
Ile tabia yako ya kuvuta bangi, kutoroka shule, kupiga walimu, kuongea bila kufikiri, kuwaza pasipo kujiuliza umeenda nayo mpk ukubwani.
Ungesoma na wewe ukawa kipanga wala usingehangaika kuwaita wakusaidie
Niwe mkwel ..sijakuelewa.ni kama una makasiriko hiv mpaka umekuja kuni attack personally!!. Tuliza kichwa bro maisha sio magumu namna hiyo halaf sijamtusi mtu popote kama akil akil zako ziko sawa

Au umeandika hiibpost ukiwa bar muda huu kichwa kimejaa kvant??
 
Niwe mkwel ..sijakuelewa.ni kama una makasiriko hiv mpaka umekuja kuni attack personally!!. Tuliza kichwa bro maisha sio magumu namna hiyo halaf sijamtusi mtu popote kama akil akil zako ziko sawa

Au umeandika hiibpost ukiwa bar muda huu kichwa kimejaa kvant??
Ana hisi mafanikio ni kwenda shule tu🤒🤒🤒
 
Niwe mkwel ..sijakuelewa.ni kama una makasiriko hiv mpaka umekuja kuni attack personally!!. Tuliza kichwa bro maisha sio magumu namna hiyo halaf sijamtusi mtu popote kama akil akil zako ziko sawa

Au umeandika hiibpost ukiwa bar muda huu kichwa kimejaa kvant??
Subiria vipanga waje wakutolee maamuzi ya nchi yako ikiwa ww hauna msaada wowote. Una faida gani kwa nchi hii?
Shuleni, vipanga wakuburuze hata uraiani ndugu?
Nyie ndiyo wale limetokea jambo hapo kwenu, pembeni kuna mtoto wa mjomba wako yupo chuo, unasema. Mjomba ww umesoma, hebu suluhisha hili jambo.
 
Subiria vipanga waje wakutolee maamuzi ya nchi yako ikiwa ww hauna msaada wowote. Una faida gani kwa nchi hii?
Shuleni, vipanga wakuburuze hata uraiani ndugu?
Nyie ndiyo wale limetokea jambo hapo kwenu, pembeni kuna mtoto wa mjomba wako yupo chuo, unasema. Mjomba ww umesoma, hebu suluhisha hili jambo.
Okay sawa.Tufanye ndio iko hivyo basi.Ila nina uhakika tukitoa certificates zetu mimi na wewe hapa hunisogelei hata kwa mbali.
 
Nimekuwa nikijiuliza mara nyingi hivi hawa vijana wanaoshika nafasi za juu kwenye matokeo ya kidato cha Nne na Sita ambao kimsingi huwa na ufaulu wa Division 1.7 kwa Form Four na 1.3 kwa Form 6 huwa wanaishia wapi? Kwasababu najua kuna wengine huwa wanasoma Sheria, kwanini wasingekuwa wanapelekwa kwenye kesi kma hizi za usuluhusi na makampuni ya wazungu ambayo kila siku tunashindwa kesi.

Wenzetu kwenye kesi kama hizo huwa wanapeleka vichwa hasa ile cream yenyewe iliyofaulu vizuri kuanzia sekondari mpaka chuo kikuu.

Vinginevyo labda elimu yetu ina mapungufu au kukariri sana kiasi kwamba hatuwezi kuona impact ya wale vipanga wetu.
Wewe una kinyongo na vipanga. Unataka watu wawaponde vipanga. Kwa taarifa yako vipanga wengi wako kwenye kazi nyeti zenye malisho manono. Kuna ambaye namjua yuko Huwaei mwengine yuko kwenye makampuni ya mafuta huwa anapanda ndege kama daladala. Kuhusu kesi ni kuwa kuna taratibu zake sio kuteua tu watu. Wewe ni wale watu wanaowachukia wenzao waliofanikiwa na kulalamika fulani hanisaidii.
 
Niwe mkwel ..sijakuelewa.ni kama una makasiriko hiv mpaka umekuja kuni attack personally!!. Tuliza kichwa bro maisha sio magumu namna hiyo halaf sijamtusi mtu popote kama akil akil zako ziko sawa

Au umeandika hiibpost ukiwa bar muda huu kichwa kimejaa kvant??
Muonee huruma maana aliyokurupuka na hiyo comment ni kama Mandonga alivyolewa ngumi akamkumbatia refa ...
 
Wapo huko KLABU HAUSI wanakoroma usiku kucha kama Wala ngada , saa nyingine waanze kututukanama wao kwa wao, sijui kazi gani wafanyazo huko mamtoni, wengi walienda kwenye ile program ya SUMMER CAMP ya kuwahudumia wazee na wasiojiweza wakazamia huko Sasa eti wanadai uraia pacha😄😄
 
Labda uniambie tuwe na wanasheria wenye exposure na hizo mahakama huko tuanze kupeleka watu wanafunzi wasome wakae huko wafanye kazi halafu warudi kwetu tusiwe tu na team ambayo imezoea hapa kwetu tu ndio maana hata kwenye soka unahitaji mechi za kimataifa na wachezaji wakimataifa kuwa na timu nzuri ya taifa.

Kwahiyo tuwe na watu wanaojichanganya huko kwenye mataifa ya watu na kuelewa desturi zao na sio waliozoea mazingira ya bongo tu ili tukikutana nao basi wao ndio wakutubeba najua wapo pia diaspora wengi tena wengine ni wanasheria kwenye mataifa makubwa huko nje labda pia ni wakati na wao waanze kutumika kama sehemu ya timu zetu kusaidia kutureinforce maana kuwa na akili nyingi tu bila exposure ya kimataifa nayo ni shida ila pia tushukuru haya tunayopitia yana tujenga zaidi na kutuongezea uimara.
Point[emoji106]
 
Kwa wenzetu gani wanapeleka vichwa ? Ulaya/ Marekani hawaangalii umepata ufaulu mkubwa chuo/shule ndio ubebwe kwenye ajira Bali competency ndio maana kule kuingia jeshini rahisi Sanaa

Mfano, kale kajamaa kalikombana proof wenu maswali si Kama miaka 30's ? Bongo kila kitu mnapeleka wazee, kalichaguliwa pale sio sababu kama "uzoefu" zaidi ya 20 years

Mwigulu nasikia alikuwa "kipanga" ila tazama mambo yake
Mwigulu, alikua kipanga wa kukalili madesa ya micro and macro Economics tu, Lakini hawezi kuyaweka kwenye uhalisia,na jamaa ni system toka udsm,I remember one day amekuja kutushauri eti nyie mnagoma nini? Vumilieni serikali inatambua shida zenu, Wakati na yeye ni Mwanafunzi [emoji24][emoji23]mara nasikia kawa mbunge [emoji23][emoji23]
 
Kwasababu nchini hapa tunaushahdi wakushinda kesi kama hizo chini ya waziri mkuu lowasa na wakili wakujitegemea tundulisi huyu huyu chiba wetu

Ccm ilimaindi Sana lowasa kumpa KAZI wakili wakujitegemea ,na kilichotokea lowasa aliyambia serikali kuhusu mawakili niachieni Mimi , kampuni Moja ilikuwa chini ya waingereza ikiwa imebinafishiwa mradi wa maji (dawaco),

Kumbukumbu zangu kama sikosei lowasa alikuwa waziri wa maji enzi zamkapa au mwazoni kikwete ndo wameingia


Kwahiyo ,shida sio mawakili wetu ,shida hapa ,uwekezaji inaonesha nimipango TU ya upigaji ndani ya mfumo watu kujitengenezea pesa kupitia makampuni ya kigeni

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Hatuwezi kuwa na strategy ya kumtegemea mtu mmoja ambaye amekuwa mwanasiasa lazima tuwe na strategy ya kujijenga na kuimarisha wengine wawe tegemeo la taifa.
 
Nimekuwa nikijiuliza mara nyingi hivi hawa vijana wanaoshika nafasi za juu kwenye matokeo ya kidato cha Nne na Sita ambao kimsingi huwa na ufaulu wa Division 1.7 kwa Form Four na 1.3 kwa Form 6 huwa wanaishia wapi? Kwasababu najua kuna wengine huwa wanasoma Sheria, kwanini wasingekuwa wanapelekwa kwenye kesi kma hizi za usuluhusi na makampuni ya wazungu ambayo kila siku tunashindwa kesi.

Wenzetu kwenye kesi kama hizo huwa wanapeleka vichwa hasa ile cream yenyewe iliyofaulu vizuri kuanzia sekondari mpaka chuo kikuu.

Vinginevyo labda elimu yetu ina mapungufu au kukariri sana kiasi kwamba hatuwezi kuona impact ya wale vipanga wetu.

Yawezekana alionekana kumi bora kwenye karatasi, lakini ukifuatilia utakuta alioneshwa mitihani, na ukimweka kwenye utendaji, ni ovyo kabisa.
 
Back
Top Bottom