Wale wa Algeria na Morocco tujuane hapa fasta ๐Ÿ˜€

Wale wa Algeria na Morocco tujuane hapa fasta ๐Ÿ˜€

The Big Five..๐Ÿ‘Š๐Ÿ‘Š๐Ÿ‘Š..

Senegal
Cameroon
Ghana
Morocco
Tunisia

Kila laheri wawakilishi wa Africa...
 
Misri anaongoza kwa goli moja baada ya Senegal kujifunga. Uwezekano mkubwa ni kwa mataifa mengi ya kiarabu kushiriki kombe la dunia toka Afrika. Ghana na Nigeria ilikuwa bado bila bila.
Mizani ilipinduka....bora waarabu wawe wachache.
 
Misri anaongoza kwa goli moja baada ya Senegal kujifunga. Uwezekano mkubwa ni kwa mataifa mengi ya kiarabu kushiriki kombe la dunia toka Afrika. Ghana na Nigeria ilikuwa bado bila bila.
Mizani ilipinduka....bora waarabu wawe wachache.
 
The Big Five..๐Ÿ‘Š๐Ÿ‘Š๐Ÿ‘Š..

Senegal
Cameroon
Ghana
Morocco
Tunisia

Kila laheri wawakilishi wa Africa...
Sasa hapa sawa ingawa tutamkosa Nigeria na Ivory Coast. Hao wakolon wa watumwa wabaki waende kula Urojo tu Mpira wa haki hawauwezi.
 
Back
Top Bottom