Kweli mkuu hata Mimi natumia AndroidWasalaam..
Siku zote mkiambiwa iPhone ni kama gereza mnashupazaga shingo ooh...hamna simu kama Apple iPhone, security kubwa sijui blaah blaah!....
Used? Sony m5 dual inasimama ngapi?Nauza android phone zote [emoji16]
Kivipi kwani mimi natumia hiyo hiyo iphone na ipad na vpn juu mambo ni kama kawaidaWasalaam..
Siku zote mkiambiwa iPhone ni kama gereza mnashupazaga shingo ooh...hamna simu kama Apple iPhone, security kubwa sijui blaah blaah!..
Wasalaam..
Siku zote mkiambiwa iPhone ni kama gereza mnashupazaga shingo ooh...hamna simu kama Apple iPhone, security kubwa sijui blaah blaah!...