Wale wa Apple/iPhone nawasalimu jamani, maisha yanakwendaje uko offline?

Wale wa Apple/iPhone nawasalimu jamani, maisha yanakwendaje uko offline?

Poleni sana wazee
Nimepanda ndege chap nimeingia mji wa Orlando, naona sasa mambo yamekaa sawa tena. Jana niliteseka sana mpk kudownload hii vpn kwenye laptop. Ilibidi ni download kutoka kwenye android yangu alafu ndio nihamishie setup kwenye laptop. Ambao hawajadownload VPN kwenye iPhone na Macbook imekula kwao babake
Screenshot 2020-10-28 at 13.37.31.png
 
Wasalaam..

Siku zote mkiambiwa iPhone ni kama gereza mnashupazaga shingo ooh...hamna simu kama Apple iPhone, security kubwa sijui blaah blaah!..
😂😂😂

Kwiii kwiii kwiii kwiii

Ha ha ha ha
 
IMG_4551.jpg

Acha uongo boss, nipo na Iphone 7 plus hapa, naperuzi instagram bila hata ya hiyo VPN
 
Nimepanda ndege chap nimeingia mji wa Orlando, naona sasa mambo yamekaa sawa tena. Jana niliteseka sana mpk kudownload hii vpn kwenye laptop. Ilibidi ni download kutoka kwenye android yangu alafu ndio nihamishie setup kwenye laptop. Ambao hawajadownload VPN kwenye iPhone na Macbook imekula kwao babake
View attachment 1614709
Shida yote hii ya nini? Wakati kwa android hizo vpn ni single click na unazipata free? Iphone sio user friend kabisa sema nyie misukule wa apple huwa hamuoni shida kabisa sijui kwanini
 
Shida yote hii ya nini? Wakati kwa android hizo vpn ni single click na unazipata free? Iphone sio user friend kabisa sema nyie misukule wa apple huwa hamuoni shida kabisa sijui kwanini
Hayo yanaitwa mahaba 😂😂😂
 
Nimepanda ndege chap nimeingia mji wa Orlando, naona sasa mambo yamekaa sawa tena. Jana niliteseka sana mpk kudownload hii vpn kwenye laptop. Ilibidi ni download kutoka kwenye android yangu alafu ndio nihamishie setup kwenye laptop. Ambao hawajadownload VPN kwenye iPhone na Macbook imekula kwao babake
View attachment 1614709
Eeh bila kufanya hivyo usingetoboa 😂😂😂
 
Back
Top Bottom