M2mwembamba
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 2,491
- 1,095
Kama unatumia TECNO gonga cheers[emoji2223][emoji2223]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ka app store kao kako kimya...Wanajifanyaga wameyapatia maisha sana ila hii ya leo kali, kunguru kanyea ugali [emoji23][emoji23][emoji23]
Mitandao imekuwa restricted na network provider i.e Vodacom,Tigo,Airtel n.k..this has nothing to do with phone security
Kudadeki hapo funguo anazo bwana jela 😁😁😁😁😁Halafu huwezi tia app bila kupitia mle.😂
Ndio ujinga huo.... lack of options. Acha waipate pateHalafu huwezi tia app bila kupitia mle.[emoji23]
Unamdanganya nani na kwa faida ipi mzee?
Sawa mzee hapo nimekubali ila inaonesha VPN unayo siku nyingiView attachment 1614762
Sina sababu ya kudanganya, mtu kama kashindwa kutumia vpn ni matatizo yake binafsi, mbona hata wenye tecno wanashindwa...
Vpn niliyonayo hapo ipo stable muda wote, we unakomaa sijui iphone mara sijui nini!
Waliowahi kudownload vpn kabla appstore haijapigwa pini wanapeta na ni wachache sanaAh wapi, iPhone kipengele
Eeh VPN ndio bwana jela, lazma useme nae vizuriWale wa window tunapeta...ila kwa vpn
View attachment 1614770