Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka ku jail break? Ku void warranty.
There is no contest here mkuu. Take your beating like a man.
no sija jailbreak ata nina free vpn na iko fast Tuh...
Mpaka ku jail break? Ku void warranty.
There is no contest here mkuu. Take your beating like a man.
Sema tu hadi u jailbreak tofauti na android unaweza install apps nje ya playstore bila hata ku jailbreak na watumiaji wa iPhone ambao ni wajanja ni wachache sana tofauti na android.....iPhone ni ya watu wasiopenda kusumbua vichwa kila kitu unamezewa basiThread ni ya kijinga alieianzisha hajielewi mara hawawezi mara walikuwa na VPN kabla sasa hata wewe mwenye android toa VPN yako halafu zima “install apps from unknown sources” uone kama utainstall hivyo VPN kama unavyotamba kuinstall from unknown sources hata mtu wa iphone anaweza akitaka ila kuna hatua za kupitia ungekuwa na iphone ningekuelekeza ila acha nikupuuze tu.
Sema tu hadi u jailbreak tofauti na android unaweza install apps nje ya playstore bila hata ku jailbreak na watumiaji wa iPhone ambao ni wajanja ni wachache sana tofauti na android.....iPhone ni ya watu wasiopenda kusumbua vichwa kila kitu unamezewa basi
Ku sideload apps watumiaji wangapi wa ios wanajua? Hasa wa hapa bongo ambao wengi wanabebaga ma iphone kwa ajili ya fashion tu ila ukiwatikisa kidogo hawajui lolotesio kwelii mzee ' hu jailbreak na mzigo unapiga fresh tuh
Ifike hatua simu za mchina ziheshimiwe mi natumia Xiaomi wao Wana Android na MIVi Yao kwahiyo mi kwangu sina shida ya mtandaoWasalaam..
Siku zote mkiambiwa iPhone ni kama gereza mnashupazaga shingo ooh...hamna simu kama Apple iPhone, security kubwa sijui blaah blaah!
Vipi mbona mmetandikwa kombora na wenye mtandao mmetulia tulii😂😂😂 toka jana hama insta😂, gmail, wala ukwaju! Ifike mahali Android ipewe heshima yake inavyostahili!
Android OS is the best ever OS to be invented!
Mkuu mbona kila veersion ya VPN ina application yake appstore, watu wanakula internet kama kawaida. Nilikuwa kwa jamaa nikakuta amelala tu na iphone yake, nikamwekea VPN msg whatsapp zikaanza tiririka kama kawaida, instagram kama kawaida kafurahi sana.Unaperuzi kwenye kisimu cha android hapo af unaleta janja janja 😂
Mkuu kuweka VPN kwenye iphone ni sawa na kuweka app yoyote tu, zipo kibao VPN tena za bure kwenye AppStore unless hajui kuhusu VPN ikiwa na maana hata angekuwa na android bado angelala tu maana hajui kuhusu VPN.Ku sideload apps watumiaji wangapi wa ios wanajua? Hasa wa hapa bongo ambao wengi wanabebaga ma iphone kwa ajili ya fashion tu ila ukiwatikisa kidogo hawajui lolote
Basi itakuwa haifanyi kwenye network flani lakini mimi nimemwashia jamaa hotspot yangu tena ya windows 10, nikamdowloadia VPN toka AppStore, akarudi hewani. Na baada ya hapo amepata had safari ya ghafla.Aah wapi, umeingiaje online wakati app store haifanyi kazi