Wale wa bao moja chaliii tukutane tufarijiane na kujadili kivyetuvyetu!


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wahurumie wape dawa wa kwanza mzabzab
 
Uwe na huruma basi siku moja moja1😃
Usije kutangaza siri zangu kwamba mimi ni mwanaume wa Dar

Kuna uzi mwingine wa vibamia utanikuta mstari wa mbele

Unachekesha sana comment zako,nikuambie kitu mambo ya mapenzi ni ukipata wa kufananae ni raha haijalish size mkipendana kila kitu kinaenda shwari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…