Wale wa bao moja chaliii tukutane tufarijiane na kujadili kivyetuvyetu!

Wale wa bao moja chaliii tukutane tufarijiane na kujadili kivyetuvyetu!

Poleni ila ninadawa yakuleta hamu ya ndoa uume kusimama na kuwa mgumu na kusimamia inshu kila upewapo ushirikiano inatakiwa tujue umri wako vingine uzito, nakuangalia imechakaaje hiyo inshu namatibabu yote ni ml 1 kama imeisha kabisa kama ni ngumu kidogo na pp hazijazeeka ni laki 9 ila jamiiforum dawa hii siwapi mnamidomo ya kipuuzi Baki na shida zenu na wake zenu wagongee na vijana kazi kwenu midomo michafu na mbor imezeeka .
Pia tunaimarisha mwili ili uchangamke usiwe mchovu wakati wa tendo Hilo asilimia yetu ya matokeo mazuri ni makubwa sana .

Dawa ni ya mizizi ya mimea na miti ni mzuri Kwa afya kabisa Kwa wanaume Kuna vipipi vinaladha ya chungwa na Kuna hii ya maji zote zipo kama juice ila matokeo yake ni mazuri ila hapa siwapi hata utoe hela ya nyumba siwapi .

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wahurumie wape dawa wa kwanza mzabzab
 
Uwe na huruma basi siku moja moja1😃
Usije kutangaza siri zangu kwamba mimi ni mwanaume wa Dar

Kuna uzi mwingine wa vibamia utanikuta mstari wa mbele

Unachekesha sana comment zako,nikuambie kitu mambo ya mapenzi ni ukipata wa kufananae ni raha haijalish size mkipendana kila kitu kinaenda shwari
 
Back
Top Bottom