Wale wa bao moja chaliii tukutane tufarijiane na kujadili kivyetuvyetu!

[emoji16][emoji16][emoji16] Kila mmoja ana wajibu wa kujifikisha kileleni , aka Kila mtu ashinde mechi zake .
Well said yaan hyo ni sawa na mayele amfunge manula halafu arud kumfunga diarra c kutesana huku
 
Chumvin ni Kutafuta fangasi za mdomo tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
mzabzab alipewa taraka na mke wake.
Mke wake sa hv ameolewa kwingine na jamaa, Chumbani kwao waliweka godoro chini maan vitanda vilikua vyavunjika.
Stry nzima nilipewa na To yeye
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ila wanaume wa kizazi hiki buree kabisa bora wa zamani
Uliona ile video mama mchungaji anasema wanaume wenye matatizo ya nguvu za kiume wapate mbelee
Hakuna alopita nilicheka sanaa
🤣🤣🤣🤣 Mwee sasa kwani anaweza rudisha nguvu za kiume ata tungepita hapo mbele
 
nyingi ya nini kwani tunashindana marathon.
 
Nmetafutiwa wa kule kijijini kwetu kabisa. Anavaa suruali za vitambaa na jeje.
Huyo wa kijijininatakuwa safi ila jiandae kupelekewa moto mpaka unaomba poh🤣🤣🤣🤣 hao sio soap soap kama mzabzab wa 2min x 3
 
Huyo wa kijijininatakuwa safi ila jiandae kupelekewa moto mpaka unaomba poh🤣🤣🤣🤣 hao sio soap soap kama mzabzab wa 2min x 3
Mim ndo nampenda huyo wa kijijini nyie wa mjini chips mayai akuu
 
Inaelekea ulikua mnato na joto sana 😃 wanawake inabidi mkiona hivyo ujisifie ila ukiona cha kwanza mwamba yuko juu dk ishirini ujue tayar bwawa hamna kitu
Kitu ambacho hawajui hawa wanawake, bao la kwanza Huwa linawahi, hasa mtu akifanya kavu, au kama alikaa muda mrefu bila kufanya, au kama akikutana na K tamu iliyopitiliza, au kakutana kimwili na huyo demu kwa mara ya kwanza au vyote kwa pamoja.

La pili na la tatu ndo yanachelewa, kwahiyo Dejane ulivyosusa na kumpiga mwenzio kwasababu ya bao la kwanza kuwahi, ulikosea. Ulitakiwa kumpa nafasi ya kupiga bao la pili na la tatu uone kama yangewahi. Pengine angedumu nusu saa na ukakojozwa vizuri ajabu, kwahiyo ulijikosesha utamu.

Halafu huyo jamaa itakuwa ndo mara ya kwanza mnakutana kimwili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…