Wale wa bao moja chaliii tukutane tufarijiane na kujadili kivyetuvyetu!

Wale wa bao moja chaliii tukutane tufarijiane na kujadili kivyetuvyetu!

Hapo zamani niliwah mnasa mtu kibao aliwah kukojoa nilipata hasira sana yaan mwanaume unashindwa kweli kujikaza ukasubiria mwenzio amalize
Umalize Nini? Unaweza ukamaliza lakini bado ukahitaji tena
 
Hapo zamani niliwah mnasa mtu kibao aliwah kukojoa nilipata hasira sana yaan mwanaume unashindwa kweli kujikaza ukasubiria mwenzio amalize
Au Ni mm nin ulininaza kibao mnk nimewai mfanyia mnyakyusa mmoja hvyo ,aise alinilamba Kofi la kishkaji [emoji23][emoji23]na alilamika San kwamba nimezinguaa[emoji23]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unaweza kulia kuna muda mtu unataka upelekewe moto sana halaf mtu analala hasira zake uwii
Mwanaume akikutana na mwanamke mwenye joto zuri kwa k, wazungu haitakiwi wachelewe kutoka, ila ukiona wazungu hawatoki ,!!!!
 
Pole sana,ila hongera kwa kujikubali

Nyie ndo wale mliokurupukia haya mambo mkayaanza mapema pasipo kupata notice kadhaa wakadhaa kuhusiana na kunyandua

Nakuahidi kama ungepata elimu kwanza kwa kusikiliza story za wana kuwa wanawake wanataka nn na mwanaume unatakiwa afanyeje kamwe usingekuwa hvyo ulivyo leo,naamin ungetafuta namna ya kuweka mambo sawa katika umri mdogo
Lakin hata sasa tukisema tukufundishe namna naamin hautaweza maana huo umeshakuwa kama ulemavu na umeukubali
Wanawake hata wao hawaelewi wanataka Nini? Dudu kubwa wanapigwa chini, dogo chini, ya kati chini, ukiwa na ela bado unapigwa chini, muulize Niki wa pili atakwambia wanataka nini
 
Ila we dada nimekupenda bure kwa jinsi unavyofariji wenye viba100.
Haki ya nani umewaondolea mzigo wa maumivu ya kisaikolojia waliokuwa nao tangu wafahamu wana vibamia.
Nicheki PM nikutumie walau vocha best.
Mzee wee ndoo lemutuz nni umefurahi Hadi unataka kuonga pesa kisa demu kawakumbuka wenye vibamia bila shaka unamiliki kibamia Chako vyema vzr San kwa kuwa muwasi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wanaotumia sekunde wakizidi dakika moja wanacomment wapi?kikubwa Kama unachangamo Ni kujikubali usitumie udhaifu wako kumnynyasa mwenza wako,Kuna baadhi ya watu akion Ana mapungufu Basi ataanza kutafuta visingizio kibao ili mwenza aonekana mbaya kwa watu kumbe yy anatumia Ni Kama defensive mechanism ya Yaya kutokujulika mapungufu yake
 
Back
Top Bottom