Iko nyuma sana[emoji23]teh teh teh
Mbali kwa maana miaka niliyoitaja iko nyuma sana au mbele sana
Hahahahaha! Baada ya mama Nenze tukaletewa kifaa Ntagaye..Wako wapi watoto wa Umendeni na sketi zai Nyekundu?
Wako wapi watoto wa Mama Nenze ambaye baadae alihamia Msalato?
Hahahaa nimeacha mbegu za kutosha!
Hivi hakuwahi kuingia mitini na pesa za watu kweli, maana ujanja ujanja mwingi.Bilionea Asigwa
Nakufaham ja!...huwezi kunipokonya ja, nakufaham vzr ja!
Ulikuwa unakuja pale uwanja wa Basketbal kuniona nikipiga watu matawi ja!
Nakufaham vizuri sana miweka hazina wa Ukwata!
Hahahaha
Ha ha ha ha haBilionea Asigwa
Nakufaham ja!...huwezi kunipokonya ja, nakufaham vzr ja!
Ulikuwa unakuja pale uwanja wa Basketbal kuniona nikipiga watu matawi ja!
Nakufaham vizuri sana miweka hazina wa Ukwata!
Hahahaha
He he he he heWako wapi watoto wa Umendeni na sketi zai Nyekundu?
Wako wapi watoto wa Mama Nenze ambaye baadae alihamia Msalato?
Hahahaa nimeacha mbegu za kutosha!
DahAlishatoka, labda kama alifungwa tena hadi 2012 alikua uraiani.
Ha ha ha haHahahaaa nakumbuka bwiru boys jirani zangu pale Kitangiri secondary Ila wanangu mlikua ndezi sana sijui kwakua mlikua karibu na milima ya ngedere Ila kitu kimoja kizuri most of them r very smart I appreciate that
Waliyamaliza kiutu uzima na akarudi kuwa mwalimu.Dah
Kumbe alishatoka??
Kesi yake iliishaje??
Au waiyamaiza ki utu uzima??
Bado airudi kuwa mwalimu au ndio hivyo alipigwa chini mazima??
Sikumkuta mkuu.Kumbe hukumkuta Mwl Nyange wa Maths wewe
He he he heIko nyuma sana[emoji23]
teh teh tehHivi hakuwahi kuingia mitini na pesa za watu kweli, maana ujanja ujanja mwingi.
He he he he heKwa ambao hawajapita advance au kukaa boarding,wanaweza kuwaona kama vichaa kwenye huu uzi
Maisha ya a-level ni ya kipekee sana..mtu unaingia bafuni kunateleza hatari,watu washapiga migalala
DahWaliyamaliza kiutu uzima na akarudi kuwa mwalimu.
Kweli, Mwanzoni ilikuwa O'level & A'level...2008 ikawa mwisho kupokea form 1...Hivo form 4 wa mwisho ilikuwa 2011 kama sikosei .He he he he he
Vijana mlikuwa na fujo sana.
Mende siku hizi imebadilishwa imekuwa high school peke yake, na inaiburuza sana Boys kwenye matokeo siku hizi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], aiseeKwa ambao hawajapita advance au kukaa boarding,wanaweza kuwaona kama vichaa kwenye huu uzi
Maisha ya a-level ni ya kipekee sana..mtu unaingia bafuni kunateleza hatari,watu washapiga migalala
Hadi 2012 alikuwa palepaleDah
Jamaa kasota kweli aiseee.
Najua anaishi life ya frustration sana, kusababisha kifo cha mtu si jambo dogo.
Bado anafundisha pale pale au alihamishwa??
Ila nasikia 2013 walirudisha o levelKweli, Mwanzoni ilikuwa O'level & A'level...2008 ikawa mwisho kupokea form 1...Hivo form 4 wa mwisho ilikuwa 2011 kama sikosei .
[emoji23][emoji23][emoji23], ulitumwa na kijijiteh teh teh
Ujanja ujanja umekuja baada ya kumaliza O level.
Nilikuwaga wale watu wasongo sana, nisiye taka rapsha na mtu.
Aaah! WapiHe he he he
aisee wewe, mimi kibabu aisee
Nimesoma zamani sana