Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,515
- 28,506
- Thread starter
- #161
Umenikumbusha ile salamu ya Ukwata eeeeenhNilikuwa Ukwata bro!! Sikuwa na mpango tu, lkn pia U-a level nao ulichangia
Eeeenh, safi sana
Yaani we acha tu.
Bado mlikuwa mnasalia lile darasa la Form 3-M1 ??