Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,515
- 28,506
- Thread starter
- #221
Kwa hiyo siku hizi kwa kuwa mmekuwa A level pekee najua mmnanata balaa.Kweli, Mwanzoni ilikuwa O'level & A'level...2008 ikawa mwisho kupokea form 1...Hivo form 4 wa mwisho ilikuwa 2011 kama sikosei .
Yaani nyie watoto mlikuwa mna pozi za hatari.
Full minato.