hahaha, supu ya hizo samaki sina.Supu ya domo domo huna, au yule samaki anafanana na ningu ana mfupa unanasaga kooni, ameua sana watu miaka ya 90 hivi.
Zamani tulikuwa tunamuita matusi ya Mwanza.
Kula kabla ya ibada kuna raha yake, minyoo haisumbui tumboni.
Si unajua huko tumboni ni full kufurukuta.
He he he hehahaha, supu ya hizo samaki sina.
Mapanki yanapelekwa DRCHe he he he
Ya mapanki je???
DRC tena??Mapanki yanapelekwa DRC
KARIBU JILAMBE KWA NAHUJA[emoji38][emoji38]Hapana mimi sikusoma hapo!!! Nimefika Mwanza kutafuta mkate wa kila siku.
Bahati mbaya mimi hata secondary sijasoma, ni darasa la 4C, ndio maana nikaishia kuwa MAMA LISHE. Karibu sana kwenye ka cafe kangu hapa Kirumba - Mwaloni kanaitwa KARIBU JILAMBE KWA NAHUJAππππ
Duh!Si bora usali kabisa ndio uje kula mchemsho!!! ahahahahahahhah. ni vema siku ya Jumapili usile chochote kabla ya mwili wa Kristu. tehe tehe tehe. Kumbe unasali kwa father Mtema!!!
Huwa nina supu ya Kamongo, Mbete, Gogogo, Ningu, Mumi, Ngele and the like
Karibu mie niko hapa Ukerewe - NansioDuh!
Hao samaki wananikumbusha enzi za utoto wangu Ukerewe! Nowdays hawapatikani kirahisi!
Nikija Mwanza nitakuja kuwala hapo kwako
[emoji23] Akhsante!Karibu mie niko hapa Ukerewe - Nansio
Hiv boat kwenda sa8 sh ngap?
Ndugu zako hao.
Kwa taarifa yako hio picha nilipiga mimi, center ya focus yangu ilikuwa huyo madame.
Haha saananeHiv boat kwenda sa8 sh ngap?