Wale wa Bwiru Boys: Tukumbushane maisha na mikasa ya Bwiru

Wale wa Bwiru Boys: Tukumbushane maisha na mikasa ya Bwiru

Supu ya domo domo huna, au yule samaki anafanana na ningu ana mfupa unanasaga kooni, ameua sana watu miaka ya 90 hivi.
Zamani tulikuwa tunamuita matusi ya Mwanza.

Kula kabla ya ibada kuna raha yake, minyoo haisumbui tumboni.
Si unajua huko tumboni ni full kufurukuta.
hahaha, supu ya hizo samaki sina.
 
Hapana mimi sikusoma hapo!!! Nimefika Mwanza kutafuta mkate wa kila siku.
Bahati mbaya mimi hata secondary sijasoma, ni darasa la 4C, ndio maana nikaishia kuwa MAMA LISHE. Karibu sana kwenye ka cafe kangu hapa Kirumba - Mwaloni kanaitwa KARIBU JILAMBE KWA NAHUJA😉😉😉😉
KARIBU JILAMBE KWA NAHUJA[emoji38][emoji38]
Ubunifu wa hali ya juu,,, jina la mgahawa litawavutia wengi, hata kama alikuwa ni mpita njia itabidi avute kisturi.. Anyway siku nikija hapo mwaloni nami nitakuja kujilamba kwa NAHUJA.
 
Si bora usali kabisa ndio uje kula mchemsho!!! ahahahahahahhah. ni vema siku ya Jumapili usile chochote kabla ya mwili wa Kristu. tehe tehe tehe. Kumbe unasali kwa father Mtema!!!
Huwa nina supu ya Kamongo, Mbete, Gogogo, Ningu, Mumi, Ngele and the like
Duh!
Hao samaki wananikumbusha enzi za utoto wangu Ukerewe! Nowdays hawapatikani kirahisi!
Nikija Mwanza nitakuja kuwala hapo kwako
 
13892041_1732294047037401_1434367194315522374_n.jpg


Ndugu zako hao.
Kwa taarifa yako hio picha nilipiga mimi, center ya focus yangu ilikuwa huyo madame.
Hiv boat kwenda sa8 sh ngap?
 
Back
Top Bottom