Wale wa Bwiru Boys: Tukumbushane maisha na mikasa ya Bwiru

Wale wa Bwiru Boys: Tukumbushane maisha na mikasa ya Bwiru

Baada ya mgomo nakumbuka unakuja na barua kutoka kwa dc wako pamoja na adhabu ya kufyatua tofali 200. Naskia kisuu alipiga hela pale coz aliyatumia kujenga mabweni ya advance huku akisema ameyanunua
Yap
Alipiga hela ndefu sana pale.

Kuna yule mjepu alikuwa anafundisha plumbing, alitoa Milioni 50 za kujenga mabweni.
Kisuu akazinywa, akatumia kama milioni 8 hivi akamiksi na matofali yetu ya adhabu akasimamisha library na mabweni.

Unaikumbuka katara??
Unamkumbuka Chigugu??
 
Ha ha ha ha
Nakumbuka sana amkuu.

Kuna watu miacha watoto kule, mwende kuwaangaia watoto wetu, watakuwa washakuwa watu wazima sasa.

Unakumbuka Ile shule ya Sengerema inaitwa Nyamprikano ilikuwa Boys kututembelea??

Unakumbuka vijana walivyokuwa wanapigana vikumbo usiku kucha kupata access ya kuzungumza na warembo bweni walilokuwa wamefikia??

Yaani siku hio kuanzia H.P mpaka raia wa kawaida tulikesha madirishani mpaka kukakucha.

Ha ha ha ha ha
Maish haya bana
Nakumbuka vijana walikua hawakauki pale kenyata domitory kuwinda wape watoto wa kike. Ile ya maswa watu waliomba kwenda tena wakakubaliwa. Watu wakajikoki wakabeba mpaka ndomu kabisa. Kufika kule hakuna cha disco wala debate, hakuna aliyeambulia hata kushika mkono wa mtoto kike
 
Yap
Alipiga hela ndefu sana pale.

Kuna yule mjepu alikuwa anafundisha plumbing, alitoa Milioni 50 za kujenga mabweni.
Kisuu akazinywa, akatumia kama milioni 8 hivi akamiksi na matofali yetu ya adhabu akasimamisha library na mabweni.

Unaikumbuka katara??
Unamkumbuka Chigugu??
Katara ndo lilikua school bus letu, chigugu si ndo yule doctor. Hata ukiwa unaharisha unapewa panadol. Kuna watu kidogo wafukuzwe kisa wanaenda kungalia moira kwakr usiku
 
Siku hiyo tumeenda kwa mkuu wa mkoa, halafu naye akatuchenjia.
Alikuwa masai mmoja anaitwa Njolay.
Alikuwa mtata sana, hafagilii wanafunzi wala hafagilii waalimu, yaani ni kutuchana tu wote laivu.

Siku hiyowatu tulinunua karanga tukapiga na chai ya pila majani ya chai tukaala, siku ikapita.
Daniel ole Njolay! Yupo hapa Arusha siku hizi, retired and tired.
 
Nakumbuka vijana walikua hawakauki pale kenyata domitory kuwinda wape watoto wa kike. Ile ya maswa watu waliomba kwenda tena wakakubaliwa. Watu wakajikoki wakabeba mpaka ndomu kabisa. Kufika kule hakuna cha disco wala debate, hakuna aliyeambulia hata kushika mkono wa mtoto kike
Ha ha ha ha
kwamba vijana mlibaniwa mchana kweupe??
 
Katara ndo lilikua school bus letu, chigugu si ndo yule doctor. Hata ukiwa unaharisha unapewa panadol. Kuna watu kidogo wafukuzwe kisa wanaenda kungalia moira kwakr usiku
Yap
Katara likuwa lile gari la kubebea kuni.
Ndio mlikuwa mkienda hata Nganza huko mnarundikwa humo, lilikuwa na maandishi yameandikwa Chunga maisha.

577803_340348316032822_413710040_n.jpg


561376_340350992699221_1772871012_n.jpg
 
Yap
Katara likuwa lile gari la kubebea kuni.
Ndio mlikuwa mkienda hata Nganza huko mnarundikwa humo, lilikuwa na maandishi yameandikwa Chunga maisha.

577803_340348316032822_413710040_n.jpg


561376_340350992699221_1772871012_n.jpg
Hii picha imenikumbusha mbali sana. Nakumbuka kuna kipindi tulienda kucheza mechi na nsumba ukatokea ugomvi. Watu ambao hawakua na nauli walitembea kutoka nsumba mpaka bwiru kwa mguu
 
Yap
Katara likuwa lile gari la kubebea kuni.
Ndio mlikuwa mkienda hata Nganza huko mnarundikwa humo, lilikuwa na maandishi yameandikwa Chunga maisha.

577803_340348316032822_413710040_n.jpg


561376_340350992699221_1772871012_n.jpg
Hili si ndo mlikuwa mwaenda nalo kuchota maji??? Nakumbuka ndo mkweche mlofanya nao ghasia ya ndomu.
 
Hili si ndo mlikuwa mwaenda nalo kuchota maji??? Nakumbuka ndo mkweche mlofanya nao ghasia ya ndomu.
Ha ha ha ha ha
Unaaita hio kitu mkweche hio??

Kitu ilikuwa ukiugua hata usiku wa manane ikiwashwa unawahishwa Bugando fastaaaa.
Halafu wewe unaiita mkweche??
 
Back
Top Bottom