Wale wa Bwiru Boys: Tukumbushane maisha na mikasa ya Bwiru

Baada ya mgomo nakumbuka unakuja na barua kutoka kwa dc wako pamoja na adhabu ya kufyatua tofali 200. Naskia kisuu alipiga hela pale coz aliyatumia kujenga mabweni ya advance huku akisema ameyanunua
Yap
Alipiga hela ndefu sana pale.

Kuna yule mjepu alikuwa anafundisha plumbing, alitoa Milioni 50 za kujenga mabweni.
Kisuu akazinywa, akatumia kama milioni 8 hivi akamiksi na matofali yetu ya adhabu akasimamisha library na mabweni.

Unaikumbuka katara??
Unamkumbuka Chigugu??
 
Nakumbuka vijana walikua hawakauki pale kenyata domitory kuwinda wape watoto wa kike. Ile ya maswa watu waliomba kwenda tena wakakubaliwa. Watu wakajikoki wakabeba mpaka ndomu kabisa. Kufika kule hakuna cha disco wala debate, hakuna aliyeambulia hata kushika mkono wa mtoto kike
 
Katara ndo lilikua school bus letu, chigugu si ndo yule doctor. Hata ukiwa unaharisha unapewa panadol. Kuna watu kidogo wafukuzwe kisa wanaenda kungalia moira kwakr usiku
 
Daniel ole Njolay! Yupo hapa Arusha siku hizi, retired and tired.
 
Ha ha ha ha
kwamba vijana mlibaniwa mchana kweupe??
 
Katara ndo lilikua school bus letu, chigugu si ndo yule doctor. Hata ukiwa unaharisha unapewa panadol. Kuna watu kidogo wafukuzwe kisa wanaenda kungalia moira kwakr usiku
Yap
Katara likuwa lile gari la kubebea kuni.
Ndio mlikuwa mkienda hata Nganza huko mnarundikwa humo, lilikuwa na maandishi yameandikwa Chunga maisha.



 
Yap
Katara likuwa lile gari la kubebea kuni.
Ndio mlikuwa mkienda hata Nganza huko mnarundikwa humo, lilikuwa na maandishi yameandikwa Chunga maisha.



Hii picha imenikumbusha mbali sana. Nakumbuka kuna kipindi tulienda kucheza mechi na nsumba ukatokea ugomvi. Watu ambao hawakua na nauli walitembea kutoka nsumba mpaka bwiru kwa mguu
 
Yap
Katara likuwa lile gari la kubebea kuni.
Ndio mlikuwa mkienda hata Nganza huko mnarundikwa humo, lilikuwa na maandishi yameandikwa Chunga maisha.



Hili si ndo mlikuwa mwaenda nalo kuchota maji??? Nakumbuka ndo mkweche mlofanya nao ghasia ya ndomu.
 
Hili si ndo mlikuwa mwaenda nalo kuchota maji??? Nakumbuka ndo mkweche mlofanya nao ghasia ya ndomu.
Ha ha ha ha ha
Unaaita hio kitu mkweche hio??

Kitu ilikuwa ukiugua hata usiku wa manane ikiwashwa unawahishwa Bugando fastaaaa.
Halafu wewe unaiita mkweche??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…