Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Naomba Mods msiufute uzi huu wala kuuhamishia mjuako, binafsi hizi picha zimevuta taswila ya mambo mengi akiwepo mzee pekee aliyekuwa na duka mtaani kwetu, ilikuwa ukienda kununua bidhaa anakuuliza chenji yako ni kiasi gani?
Ukishindwa hesabu kama unasoma madarasa ya kuanzia Std 3 na kuendelea unakula konzi za maana ndipo uhudumiwe RIP Mzee Phano
Ukishindwa hesabu kama unasoma madarasa ya kuanzia Std 3 na kuendelea unakula konzi za maana ndipo uhudumiwe RIP Mzee Phano