Adverse Effect
JF-Expert Member
- Oct 8, 2017
- 2,049
- 5,449
Early 80sMnaongelea mwaka gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Early 80sMnaongelea mwaka gani?
AlhamduliLlah ndoa yangu ni 80s. Nilikuwa naishi nje ya Tanzania lakini nakuja-kuja sana wiki mbili tatu naondoka.Early 80s
Halafu nyie wapiga picha mlikua hamchelewi kutuambia ''Picha yako imeungua'' wakati hapo mtu umesubiri wiki mbili.Uuuuwi hadi moyo umeenda mbio,nimetumia tan bond et! Mbona sasa mimi bado naonekana mdogo?
Halafu nilikuwa camera man naweka hizo kodak,ni lazima uwekee gizani [emoji1]
Mashalaah. Hakika wewe ni tunu na lulu iliyo adimu sana.AlhamduliLlah ndoa yangu ni 1982. Nilikuwa naishi nje ya Tanzania lakini nakuja-kuja sana wiki mbili tatu naondoka.
AlhamduliLlah.Mashalaah. Hakika wewe ni tunu na lulu iliyo adimu sana.
Kwa walio wengi wewe ni kama mama yao humu. Kwa sie wewe ni dada yetu tu. Uccm na udini wako tu ndio tatizo ila una madini.AlhamduliLlah ndoa yangu ni 1982. Nilikuwa naishi nje ya Tanzania lakini nakuja-kuja sana wiki mbili tatu naondoka.
Sasa wewe upagani wako nani alikuingilia?Kwa walio wengi wewe ni kama mama yao humu. Kwa sie wewe ni dada yetu tu. Uccm na udini wako tu ndio tatizo ila una madini.
Mimi siingiliwi hata kidogo mkuu, wewe sawa!Sasa wewe upagani wako nani alikuingilia?
Umewahi kuisoma Qur'an?Mimi siingiliwi hata kidogo mkuu, wewe sawa!
Ukisoma wewe inatosha mkuu.Umewahi kuisoma Qur'an?