Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Institute of Females Management
Haina noma mtaalamu wa codes... 2takuwa pamoko xana brah
Ilikuwa choice ya pili kaka, xema me nimepiga egm
usijali hapo ni msuli tu. muhimu uwe na laptop kwa ajili ya masomo kama c programming hesabu ni za kawaida tu sema kwenye somo kama c programming itabidi uwe muhangaikaji na usikose vipindi. Notes utachukua kwangu ma pastpapers best of luck na karibu
ndugu zangu ifm sio rahs kama mnavyoichukulia....u have 2 study...msul wa pale s wa kichumba..kurepeat a year na kudisco kwa semister n jambo rahs saana kama usipokua makini
Dege langu limetua hapo IFM kwa miaka 3.....bachelor if banking and finance...........ila nahisi bata litanipelekesha mieeeee
kwa wastani wa 40% na sisi wa 50% tusemeje?
hii thread ni ya spesho kwa wale waliochaguliwa ifm
kwa wastani wa 40% na sisi wa 50% tusemeje?
wewe mbona kujisifia na lichuo lako hilo la ushirikaaaa bayaaa
wewe mbona unapenda kujisifia na lichuo lako hilo la ushirikaaaa bayaaa
Unamtindio wa ubongo! wewe kama wastani ni mdogo tusiseme??, mwambie babayako ajenge chuokizuri kama MUCCoBS ni kibaya!, ifm shule rahisi average40%,!! umevurugwa marinda wewe, kozi yenyewe unayosoma sijui umeitoa pori gani!
Dege langu limetua hapo IFM kwa miaka 3.....bachelor if banking and finance...........ila nahisi bata litanipelekesha mieeeee
Rafiki yangu wa kwanza huyu... Karriibbuuuuuuu....