Mbrazili
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 649
- 90
NA WEWE AVerage ya 40% inakupelekesha??ungekuwa SUA au MUCCoBS ambapo average ni 50% ungelia
Mkuu bado cjajionea laivu....nilichomaanisha hapa ni kuwa mi mtu wa kurelax na bata sana sasa i hv to change kabla sijaanza kuliwa vichwa