wale wa ifm 2kutane hapa

NA WEWE AVerage ya 40% inakupelekesha??ungekuwa SUA au MUCCoBS ambapo average ni 50% ungelia

Mkuu bado cjajionea laivu....nilichomaanisha hapa ni kuwa mi mtu wa kurelax na bata sana sasa i hv to change kabla sijaanza kuliwa vichwa
 
Karibu ila halahala unaweza ondoka semista ya kwanza tu.
Piga kitabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…