Wale wa IST wenzangu mpo?

Wale wa IST wenzangu mpo?

yoyo wewe umesoma IST mwaka gani??

Pesa ya kulipa uliitoa wapi?au wewe endiyo uzao wa ufisadi unless kama wew eni mtoto wa miak ya 95-05
 
yoyo wewe umesoma IST mwaka gani??

Pesa ya kulipa uliitoa wapi?au wewe endiyo uzao wa ufisadi unless kama wew eni mtoto wa miak ya 95-05
pesa unayosomea masters huko South africa nani anakulipia?
 
Nimepanga tukutane jmosi kama itawezekana kwa mipango ya 2011
 
Ahahhhaha nafikiri umepotoka..wenzako hapa hawapo wako wachache sana wenngi wahindi,waarabu wafanyabishara wakubwa sana hapa mjini.....hii thread haina maana kwetu...mod pls itoe watatafutana kwenye sura ya kitabu huko sio hapa!!!
 
Hii thread ndiyo nimeiona leo ama nimecheka! YoYo wenzio wamekuuliza mwaka mzima kuwa ulisoma mwaka gani umewachunia, leo umeibuka kuwaita kwenye mustakabali wa 2011! Labda tukumbushane kiukweli, ulikuwa St Kanumba au St gavmenti ipi?
 
IST iko nchi gani. was it among the special school i never heard .Iko mkoa gani?
 

Ndio wanafundish nini hawa wanafuata mtaaala gani na kwa nini waitwe Iitwe international.
It sound like kama ilikuwa ni shule kwa jili ya Ukoloni yaani shule kwa ajili ya wazungu.

Najua wanaosma shule kama hizo kingereza kizurisana lakini kwenye hesabu na sayansi wachovu sana.

Hongera YOYO. kuwa katika wachache mlisoma na mzungus.

Je baada ya IST ulienda sekondary gani na Chuo gani. labda unaweza kuwa mate wangu kinondoni sekondary

Teth teh teh
 
Ndio wanafundish nini hawa wanafuata mtaaala gani na kwa nini waitwe Iitwe international.
It sound like kama ilikuwa ni shule kwa jili ya Ukoloni yaani shule kwa ajili ya wazungu.
Hawafati mitaala mibovu ya NECTA.....MIE SIO MZUNGU mbona nilisoma pale......
Je baada ya IST ulienda sekondary gani na Chuo gani. labda unaweza kuwa mate wangu kinondoni sekondary
mkuu tatizo lako ni elimu ya NECTA ULIOSOMA umekariri ukimaliza hatua ya sekndari lazima uende chuo....ukakaririshe tena....
 
Hard knock!!
And you still dont want to tell which year!?
 
1979-2000 katiika kati ya miaka hiyo.......

Just simple question,
Can you name... [just one ART TEACHER] in those years?


Yoyo hii miaka uliyoisema inanipa doubt, naona ni mingi sana kwa IST student
 
Back
Top Bottom