Wale wa Kibaha Sec School tujikumbushe

Wale wa Kibaha Sec School tujikumbushe

Malafyale Sanctus Mtsimbe, ahsante sana ,ndaga fijo-na malori na mapijo!!
Kibaha has produced a lot of personalities JK,Gray Mgonja ,Tenga na hao ni wachache!!
 
Tujikumbushe tulivyokuwa tunasoma na Ali Mrisho Kibaha. Jinsi ambavyo hata wakati ule alivyokuwa anaonyesha ishara ya kuwa kiongozi.
 
jamani mmenikumbusha mbali saana,ile thinking tank,
mzee mwaipaja,mama sendi,mzee wa 4by4 by 7,nakumbuka yale machunnwa,nakumbuka ya maembe,nakumbuka kuku wa kienyeji,wa kule mwanalugali,na kumbuka madome yoote kuanzia nyanza mpaka scandia,nakumbuka mashindano ya usafi,na yule jamaa wa michezo alikua anaitwa nani?

Mama SSendi yuko wapi na yule mzee Mabele na utani wake kwa wagogo...?
 
Mama Sendi kuna wakati nilisikia alienda ulaya kusoma ,sijui kama alirudi tena kufundisha
 
ha ha ha ha ha ha wakuu mmerutubisha kumbukumbu zangu sana, ni kweli pamebadilika sana, mara ya mwisho natoka pale vijana walihamishia upepo shule fulani hivi ya wasichana ipo maeneo ya kibamba dar, nakumbuka people walikuwa radhi watembee hata kwa miguu toka kibaha kuwaona tu wale watoto.
 
Dah Konga alikuwa mkali kama pilipili haswa siku za usafi. Jamaa alikuwa haoni hatari kukupiga viboko kama mwizi.
 
Wengine tulisoma Kibaha wakati huo ikiitwa NORDIC TANGANYIKA PROJECT wakina Said Hilali[Born City] Bryan Sagatwa, C. Apson, Hussein Mtoro, Richard Mwakalinga, Boni Mwaiseje, Mdeha, Parkipuni. Wengi sijawaona sijui hata kama wako hai!! Kama kuna mtu mwenye taarifa za yeyote niliyemtaja hapo tafadhali nipashe.
 
Hivi ile ishu ya uraia wa Keselenge imeishia wapi manake enzi hizo akidaiwa mzambia!
 
Mzalendo, Mbona umemsahau Mzee wetu Mr. KAZIBURE?


Sanctus
Nimekumbuka mengi hasa kwa mimi niliyekulia KSS kuanzia O - A level enzi za Dr. Mangi anatupakaa dawa ya fangus kwa sisi tuliotoka bara!!
Nimemkumbuka mpaka marehemu Elias Nyiti(RIP), mgomo wa 1984 enzi za Msaki, Mama Nyiti,Mbawala(RIP),Mwenegoha,Lwebandiza,Masinde(RIP) na wengine wengi bila kumsahau Matata na Henry Ramadhan(Mkurugenzi Michezo). Kuku kwa wingi,miraba ya machungwa na watoto wa Kiley!(Kilakala)
 
Duuuuu vijana wa O level 1985-1988 na A level 1989-1991 tukumbukane
 
Usisahau wale wengine Mwalimu wa Kilimo Katabago, Mwal wa mahesabu Rwehumbiza, Masinde, Mhango, akina mama Luoga...mama Nyiti, Mama Macha,Mama Mmndogo, Mama Mori, na hata mama Kisanga (model)
 
Eeebwana Masinde na Mbawalla walishavuta? Nilisikia tu yule Nasongelya...
 
Wazee wa Kibaha. Ongezeni contents ktk kurasa yenu ya Wikipedia:

[ame=http://en.wikipedia.org/wiki/Kibaha_secondary_school]Kibaha secondary school - Wikipedia, the free encyclopedia[/ame]
 
Back
Top Bottom