Wale wa Kilimanjaro tukutane hapa...

Mi nawapa changamoto wana moshi wenzangu tuamuke after lol mi ni half mother mchaga baba mhaya mchanganyiko wa makabila maarufu bongo mother wa kibosho karibu na seminali kuu
Unajua ukiwa mwongo basi usiwe msahaulifu jana ulisema mama mkibosho baba mwi iraq leo tena baba amekuwa mhaya?[emoji15]
 

Ubarikiwe sana kiongozi kwa kutujuza. Bora kupambana na torch za mchana!
 
Tarakea rombo...!!!! Olili... useri... mkuu.... mashati...!! Nikumbushen nilipo sahau warombo wenzangu
 
pamoja na yote, tafadhalini ndugu zanguni, acheni kuchinja ng'ombe/mbuzi na kwenda kutambika makaburini kwa kuamini babu/wazee waliokufa ndio wanaowasaidia kule mjini. Pia Epukeni ulevi

JESUS IS LORD!
Kweli mkuu,mimi mchaga lkn napinga hizo mila kwa nguvu zote.
.
.
Ila pombe siachi.
 
Wale wote mnaeenda kibosho msipite kibosho road bila kunitafuta niwaoneshe chimbo langu jipya nalizindua kushoto mwa barabara inayopanda kibosho.
Kibosho ipi mangi taja location jumamosi nipo njiani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…