WALE WA MBUDDYA ISLAND

Jinsi ya kufika
Anza ubungo panda magari ya mbagala rangi tatu... Ukifika yanapogruzia unashuka.. Unaulizia daladala zinaazoenda maji matitu
Shuka kituo cha kwa ali mpemba



Subiri naenda kunywa maji nije malizia
Ni mbali San'a
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jeiefu raha sana
 
Jinsi ya kufika
Anza ubungo panda magari ya mbagala rangi tatu... Ukifika yanapogruzia unashuka.. Unaulizia daladala zinaazoenda maji matitu
Shuka kituo cha kwa ali mpemba



Subiri naenda kunywa maji nije malizia
Ni mbali San'a
Watu wa mbagala utawajua tu
 
Kwenye smartphone yako ingia weka location on kisha fungua google map search mbudya island, utaona muongozo wa namna ya kufika kuanzia ulipo hadi kufika kwenye ramani itakayotokea!
 
Jinsi ya kufika
Anza ubungo panda magari ya mbagala rangi tatu... Ukifika yanapogruzia unashuka.. Unaulizia daladala zinaazoenda maji matitu
Shuka kituo cha kwa ali mpemba



Subiri naenda kunywa maji nije malizia
Ni mbali San'a
Jamaa kamaliza kila kitu hapa, kaelezea vya kutosha fuata maelekezo hayo
 
Huko watu huwa wanakata sana kuna dogo alikata huko Na msanii moja Aseh hata sitamani kupasikiaa kabisa huko
 
Jinsi ya kufika
Anza ubungo panda magari ya mbagala rangi tatu... Ukifika yanapogruzia unashuka.. Unaulizia daladala zinaazoenda maji matitu
Shuka kituo cha kwa ali mpemba



Subiri naenda kunywa maji nije malizia
Ni mbali San'a
Muongo wewe
 
Jinsi ya kufika
Anza ubungo panda magari ya mbagala rangi tatu... Ukifika yanapogruzia unashuka.. Unaulizia daladala zinaazoenda maji matitu
Shuka kituo cha kwa ali mpemba



Subiri naenda kunywa maji nije malizia
Ni mbali San'a
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dah we binti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…