INSIDER MAN
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 2,005
- 19,579
Huwa naskiaga mbudya mbudyaa....nataman sana fika anejua full details jins ya kufika nk...embu titirika hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jinsi ya kufika
Anza ubungo panda magari ya mbagala rangi tatu... Ukifika yanapogruzia unashuka.. Unaulizia daladala zinaazoenda maji matitu
Shuka kituo cha kwa ali mpemba
Subiri naenda kunywa maji nije malizia
Ni mbali San'a
Watu wa mbagala utawajua tuJinsi ya kufika
Anza ubungo panda magari ya mbagala rangi tatu... Ukifika yanapogruzia unashuka.. Unaulizia daladala zinaazoenda maji matitu
Shuka kituo cha kwa ali mpemba
Subiri naenda kunywa maji nije malizia
Ni mbali San'a
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jeiefu raha sana
Jamaniii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi mbudya ipo kigoma?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Hivi mbudya ipo kigoma?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Raha iko wapi
Akitoka hapo anatakiwa apande gari za kisarawe akashukie masaki msanga ndo atakutana na boti zinaenda mbuddya
Hayo maelekezo ndio raha yenyewe...Ipo mkuranga mbele kidogo
Jamaa kamaliza kila kitu hapa, kaelezea vya kutosha fuata maelekezo hayoJinsi ya kufika
Anza ubungo panda magari ya mbagala rangi tatu... Ukifika yanapogruzia unashuka.. Unaulizia daladala zinaazoenda maji matitu
Shuka kituo cha kwa ali mpemba
Subiri naenda kunywa maji nije malizia
Ni mbali San'a
Jamaniii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
OooohhhhIpo mkuranga mbele kidogo
Me nasikiaga wanaoenda huko wanakufaga tu..wewe huogopi kufwa????Huwa naskiaga mbudya mbudyaa....nataman sana fika anejua full details jins ya kufika nk...embu titirika hapa
Muongo weweJinsi ya kufika
Anza ubungo panda magari ya mbagala rangi tatu... Ukifika yanapogruzia unashuka.. Unaulizia daladala zinaazoenda maji matitu
Shuka kituo cha kwa ali mpemba
Subiri naenda kunywa maji nije malizia
Ni mbali San'a
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dah we bintiJinsi ya kufika
Anza ubungo panda magari ya mbagala rangi tatu... Ukifika yanapogruzia unashuka.. Unaulizia daladala zinaazoenda maji matitu
Shuka kituo cha kwa ali mpemba
Subiri naenda kunywa maji nije malizia
Ni mbali San'a
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]naona Leo warembo wameamua kutuvunja mbavuHivi mbudya ipo kigoma?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]