Wale wa Mzumbe University, tujadiliane hapa

Wale wa Mzumbe University, tujadiliane hapa

nakushauri tu statistics ya mzumbe ni nzuri sana na ina soko soma hyohyo usihamie baf ajira mbinde coz wahasibu weng mno mtaani mzumbe panahitaji msuli wa kutosha hakuna masikhara so uende ukijua kuwa hauko udom pale kudisco ni njenje

Nmekusoma mkuu hope ntapambana na BAF yng..
 
Wadogo zangu nendeni mkaishi kwa kufuata sheria za chuo,jitambueni kuwa tayari mpo katika jamii ya wasomi. Elimu ya mzumbe toka mwaka 2012 wamebadilisha utungaji wa mitihani,majaribio kuwa ya "critical thinking" zaidi kuliko majibu direct from lectures. Nimefanya 1st and 2nd degree pale in HRM. Elimu ni zaidi ya unachofundishwa darasani,kuweni watafiti na wenye shauku ya kujua mabo yanayo husiana na kile unachosoma,hii itakusaidia kupanua upeo wako. Msidharau test,assignments maana ndizo zitakazo unda 50% ya your final marks every year. Jitahidini sana kupata GPA nzuri (at least 3.5 and above) tokea mwaka wa kwanza ili majumuisho ya final year yaweze kukupa class nzuri katika cheti chako. Epukeni makundi na tabia za kuiga zisizo na faida kwenu.

Mwenyezi Mungu akitupa uzima,tutasaidiana kipindi cha field na hata ajira kushaurina namna ya ku-win soko la ajira.

Naipenda mzumbe.Kwa kubadilishana mawazo (0657504089)

Pamoja sana..
 
Kwa ishu ya baf inahitaji msuli sana ili uwe na gpa nzuri,ukiongeza na cpa ajira njenjenje@tchaoo
 
mwenzio nimeshamaliza tayar hapo mzumbe pole` yako ww ambaye huna hata registration namba!! halafu inaonekana ww bado una akili za secondary..
 
Karibuni cha muhimu usiangalie jina la chuo ila fuata unachotakiwa ukipate, la sivyo utaishia njiani. Hongereni.
 
madogo tatizo wana mizuka sanah! wakigonngwa test 1 kwanza ndo watakaa sawa..
 
hey sorry,,, hv majina ya waliochaguliwa mzumbe yameshakua announced ooo nyie mlipata chance ya kuchek via airtel cz mdogo wangu aliomba mzumbe pia na nikichek ata kwny website yao cjaona majina,,, naomben msaada kwa hili
 
Waambie hao mkuu wamekariri sana...[/QUOTE]
Cpa ndo mpango mzma...unabisha nn
 
Back
Top Bottom