lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
Duuu kiatu jamani nilikuwa nanunuliwa kiatu kikubwa hatari mbele ni kunawekwa matambara ili kinitoshee yaan cha shule hicho hicho cha kanisan,siwez kusahau nimebeba sana mifuko almaarufu Marlboro,..ahaaa ebwana enz hizo kwenu mkiwa tu na TV mpaka shule unaheshimiwa na wenzako tuliita video,bado nakumbuka tulikuwa na tabia ya kuvaa ndala siku ya kufunga shule na kama una mtu ulikuwa na bifu naye basi unafunga naye shule yaan mnapigana njiani!... Hahaaaa siwez kusahau nilikuwa nauza keki za mwl darasan darajambili shule ya msingi Arusha, jamani nilikuwa navaa mauniform oversize ukilalamika unaambiwa utakuwa nazo ...