emmanuel mhecha
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 933
- 543
Tehee te tehe,weka Ligandu na ndongi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ni iringa kabisa eneo la esso ukiwa unaelekea miyomboni hapo acha upotoshaji.
ulikuwa liti kipindi kipi mkuu?.. mwingira, kombe, nkenwa, ama kisinga?Liti Madaba. Nakumbuka timu ya mpira ilikuwa hatari sana namkumbuka Computer. Uuwanja Wa Madaba ipale center. Kwa Wandendeule .. Kipindi hicho mkienda Songea town njiani ukimkuta mtu na gari yake imepata pancha mnamuambia vipi Rambo unalalamika pancha wakati kuna Oko !
Daaah mkuu kumbe we mboy
Tamsala vp ulienda Pin, na Joint Mass vipi Milango 9, bustani, kuchunga ng'ombe, shadufu, Mashineni
Mfaranyaki Bombambili Matomondo Mwembe chai Gerezani Mpamba Lyoto,Nationa Milling Majengo B National Housing japo mm sio wa huko but nina idea na huo mkoaWakuu Salam kwenu.
Wale wa Songea , Songea yetu ya wangoni, wamatengo, wayao na wengine wengi, wale tunaopita njombe, Lilondo, madaba, mkongotema, shule ya Tanga, mbinga, Nyasa, mbambabay, lituhi, matimila njooni tusemezane kitu wanalizombe
Bombli nyumbliBombiii nyumba hii nyumbani kutamu
Liti Madaba. Nakumbuka timu ya mpira ilikuwa hatari sana namkumbuka Computer. Uuwanja Wa Madaba ipale center. Kwa Wandendeule .. Kipindi hicho mkienda Songea town njiani ukimkuta mtu na gari yake imepata pancha mnamuambia vipi Rambo unalalamika pancha wakati kuna Oko !
daa, alishafariki mwaka jana, R.I.P mchakaBila kusahau ni washirikina sana,mkoa hauna kiwanda hata kimoja.wakunyumba hoyeeeee!!!??