GREGO
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,279
- 2,921
Ha ha ha ha ha Mkuu ile kambi ni hatari kwa Ma MpenziHahahaha, ukitaka kujua mboys lazima ataje hivyo vitu! Umenikumbusha mbali sana kuhusu Tamsala...
Hiyo ndo ilikua ya kuoga mkuu na kupiga unyunyuIla songea boys ya wakati ule ....ilikuwa kiboko ....wazee Wa kwenda disco tamsala .....na chupa ya ulanzi