Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kwa wale mnaokaa huko mjipangee ujenzi unaoendeleea wameshauri wafunge upande mmoja.
Upande mwingine mtaelekezwa jinsi ya kupita na magari yenu.
Ushauri ni kama hamna umuhimu wa kwenda na gari mjini panda mwendokasi.
Vijana wakiwa na nguo za njano reflector watakuwa pale kuwasaidia kuwaongoza.
Kazi iendeleeeeee.
Upande mwingine mtaelekezwa jinsi ya kupita na magari yenu.
Ushauri ni kama hamna umuhimu wa kwenda na gari mjini panda mwendokasi.
Vijana wakiwa na nguo za njano reflector watakuwa pale kuwasaidia kuwaongoza.
Kazi iendeleeeeee.