Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
tutaongeza mabus tunapunguza yale ya.kutoka Morocco kwenda kivukon yatakuja uko ubungoTutakesha mwendokasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tutaongeza mabus tunapunguza yale ya.kutoka Morocco kwenda kivukon yatakuja uko ubungoTutakesha mwendokasi
Kwa wale mnaokaa huko mjipangee ujenzi unaoendeleea wameshauri wafunge upande mmoja.
Upande mwingine mtaelekezwa jinsi ya kupita na magari yenu.
Ushauri ni kama hamna umuhimu wa kwenda na gari mjini panda mwendokasi.
Vijana wakiwa na nguo za njano reflector watakuwa pale kuwasaidia kuwaongoza.
Kazi iendeleeeeee.
Pita UDSM-Makongo-Goba-Mbezi😂heeee na sisi wa madaladala
Kama unatoka nyuma ya mbezi basi njia ya korogwe haifai, ila kama unatoka mbezi na maeneo ya jirani njia hii itafaa zaidiSasa nakuuloza kama unatoka kibamba au kibaha au mbezi magufuli Hadi utoboe korogwe itakuwarahisi??
Apasue ile ya kifuruKama unaenda Airport pitia bonyokwa
ni huzuniNyie mmwambie dereva apaishe juu.
Tofauti mtafika saa nne(kazini au home).
Mkiwa mmechoka.
Mungu babaPita UDSM-Makongo-Goba-Mbezi😂
😂sawadamka saa kum
i
naomba nije nikae kwako😂Kazi mnayooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Karibuu mahi Diaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]naomba nije nikae kwako[emoji23]
Mungu baba
asante mahiiKaribuu mahi Diaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji120][emoji120]asante mahii
heeee na sisi wa madaladala