Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Ni mwendo wa Chuo kikuu Njia nne goba mbezi mwisho chaap.
Mida ya jioni foleni ya Makongo Juu kuelekea Goba Center mtaiweza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mwendo wa Chuo kikuu Njia nne goba mbezi mwisho chaap.
ni huzuniTumia BRT au daladala za Giba, Kinyerezi kufika Mbezi
Unafikiri kujenga brt ni sawa na kujenga choo!?Pale Airport tu wameshindwa kumaliza mpaka leo foleni na usumbufu wa pale ni balaa, huko sijui itakuaje
Inahusiana nini na moro roadNingeshauri hizo barabara za dar tumazalize kwanza Moja kabla ya kurukia nyingine, tumalize kwanza ile ya Tazara kuelekea airport iwe full operational ndio tudandie nyingine
Hapo bado utakua na 'mwendokasi'?Wangeruhusu njia ya mwendokasi magari binafsi yapite hadi ujenzi ukamilike, wachukue huu ushauri watakuja nishukuru
Barabara inapanuliwa kuwa njia nane,kutoka Ubungo daraja la Kijazi mpaka Kimara.Ujenzi gani unaoendelea?
Vyoo tu mmeshindwa kuna baadhi ya shule mpaka leo zina choo kimoja, kwahiyo kuwa na heshima na choo.Unafikiri kujenga brt ni sawa na kujenga choo!?