wale wa udsm tufamiane apa

wale wa udsm tufamiane apa

METAL,tatizo ni hizo joining instruction na fee structure,watatuma posta au wataweka kwenye web yao...???
 
Hongereni Kwa kuchaguliwa udsm Madogo......ila mjue kuna kubebana sio mtu anakuomba umbebe unafany roho mbaya. Huo ndio uhalisia wa udsm, kubebe ni lazima!
 
labda ungeanalyze kitu gani ambacho unataka kujua kutoka kwangu kuhusu udsm
METAL Kuna hili swala la registration na admission ni vitu gani (vyeti) vinavyohitajika kumaliza mchakato mzima bila usumbufu
 
Last edited by a moderator:
METAL Kuna hili swala la registration na admission ni vitu gani (vyeti) vinavyohitajika kumaliza mchakato mzima bila usumbufu

kuhusu suala la registration lazma uwe na admission letter ambayo inapatikana sehemu ulikopangiwa,main campus,DUCE na MUCE.Na vitu vinavyotakiwa wakati wa registration ni-1.direct costs 2.lazima ulipie accomodation kama umepata hosteli za chuo 3-vyeti vinavyotakiwa ni (a) academic certificate form 4(original na copy yake) (b) result slip ya form 6(original na copy yake) (c) birth certificate(original na copy yake) (d) death certificate kama umeondokewa na mzazi mmoja au wote(original na copy yake) (e) kama una matatizo ya kiafya uje na form ambayo umepimwa na daktari (f) vitu vingine utavijua tu pindi ufikapo chuo,karibu sana dogo UDSM.
 
kuhusu suala la registration lazma uwe na admission letter ambayo inapatikana sehemu ulikopangiwa,main campus,DUCE na MUCE.Na vitu vinavyotakiwa wakati wa registration ni-1.direct costs 2.lazima ulipie accomodation kama umepata hosteli za chuo 3-vyeti vinavyotakiwa ni (a) academic certificate form 4(original na copy yake) (b) result slip ya form 6(original na copy yake) (c) birth certificate(original na copy yake) (d) death certificate kama umeondokewa na mzazi mmoja au wote(original na copy yake) (e) kama una matatizo ya kiafya uje na form ambayo umepimwa na daktari (f) vitu vingine utavijua tu pindi ufikapo chuo,karibu sana dogo UDSM.


Asante sana bro METAL,hapo kwenye admission letter kidogo sijapata ufasaha wake...tafadhali hebu elezea in details tupate mwanga zaidi...then cost za accomodation zinacheza kwenye mzani wa shilingi ngapi....:::help:::
 
Last edited by a moderator:
karibuni sana madogo wote waliochaguliwa UDSM mwaka huu,kaka zenu tunaripoti oct 21,nyinyi lazima mje mapema kwa ajili ya orientation course itakayoanza jumatatu ya oct 14(main campus,DUCE & MUCE),katika suala la msuli mtu asikutishe sana,kama umekuja chuo kusoma kisawasawa utafaulu tu,ila kama umekuja kurelax tu lazima uage mashindano mapema sana(kudisco),u are welcome to UDSM

dah ahsante sana bro
 
tarehe 12 ndo tunaingia so jamani tupeane ushilikiano

Kazi kweli kweli. unaenda chuo kikuuuu bado hata kuandika vizuri hujui. tufamiane, apa, ndo, ushilikiano. looooooooooooo kweli ELIMU TANZANIA KWISHNEYYY BABU GIIII
 
Hongereni Kwa kuchaguliwa udsm Madogo......ila mjue kuna kubebana sio mtu anakuomba umbebe unafany roho mbaya. Huo ndio uhalisia wa udsm, kubebe ni lazima!

dah aya kwel majanga kulipa nilipe mimi kulala alale mwngne
 
Hongereni Kwa kuchaguliwa udsm Madogo......ila mjue kuna kubebana sio mtu anakuomba umbebe unafany roho mbaya. Huo ndio uhalisia wa udsm, kubebe ni lazima!

Kazi kweli kweli. unaenda chuo kikuuuu bado hata kuandika vizuri hujui. tufamiane, apa, ndo, ushilikiano. looooooooooooo kweli ELIMU TANZANIA KWISHNEYYY BABU GIIII

ndezi nini kwa hyo we apo hujaelewa nini au unatafuta kuokewa unawatoa watu kwenye mada ndezi nini
 
ndezi nini kwa hyo we apo hujaelewa nini au unatafuta kuokewa unawatoa watu kwenye mada ndezi nini

maneno machafu ndiyo unayoyajua. pambaf! lazima urekebishwe unatia aibu, unajivuna kwenda chuo kuandika hujui! nina wasi wasi kama hata kusoma unajua wewe! hata hivyo si kosa lako elimu imeshuka nawe umeshuka nayo.
 
Hongereni Kwa kuchaguliwa udsm Madogo......ila mjue kuna kubebana sio mtu anakuomba umbebe unafany roho mbaya. Huo ndio uhalisia wa udsm, kubebe ni lazima!

maneno machafu ndiyo unayoyajua. pambaf! lazima urekebishwe unatia aibu, unajivuna kwenda chuo kuandika hujui! nina wasi wasi kama hata kusoma unajua wewe! hata hivyo si kosa lako elimu imeshuka nawe umeshuka nayo.

dah umeshnda mama xema nini we unamatatizo sana afu we unaoneka huxomi na kibaka wa kike mtaani embu uko
 
Kazi kweli kweli. unaenda chuo kikuuuu bado hata kuandika vizuri hujui. tufamiane, apa, ndo, ushilikiano. looooooooooooo kweli ELIMU TANZANIA KWISHNEYYY BABU GIIII
"kwishneyyy babu giii"
Hata wewe uandishi wako inaonyesha ni mtu wa kijiweni
 
Asante sana bro METAL,hapo kwenye admission letter kidogo sijapata ufasaha wake...tafadhali hebu elezea in details tupate mwanga zaidi...then cost za accomodation zinacheza kwenye mzani wa shilingi ngapi....:::help:::

Admission letter ni barua rasmi inayo onesha degree program uliyo chaguliwa pamoja na namba yako ya usajili ambayo ni kama mbadala wa jina lako na utaitumia namba hyo kama jina lako maisha yako yote utakapo kua chuoni....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom