Wale wa Wydad Casablanca tukutane hapa

Wale wa Wydad Casablanca tukutane hapa

BlackPanther

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2015
Posts
9,185
Reaction score
8,715
images (5).jpeg

Leo tunamdunda mtu jamani

My prediction

Wydad Casablanca 2-1 Al ahly, FT

Karibuni sana makanda wangu
 
Game sio leo ni kesho waliipeleka mbele kwakuwa motsepe alienda ufaransa jana kuchek game ya liver na madrid...
Yaani waafrica wangese kweli...so kama final ya uefa ndioo ubadiliahe tarehe ya caf final....plus sii ana private jet yake. Hii ni le excuse na proority kwake inatakiwa kuattend caf champions league final sio hiyo ya ulaya
 
Yaani waafrica wangese kweli...so kama final ya uefa ndioo ubadiliahe tarehe ya caf final....plus sii ana private jet yake. Hii ni le excuse na proority kwake inatakiwa kuattend caf champions league final sio hiyo ya ulaya

Ila ni kosa kubwa kuahirisha game, especially final!
 
Mie ndio maana nakubalina kabisa na wazungu kutuita sie manyani. Tuna maamuzi yaki ngese sana.
Motsepe ni rais was caf not uefa...u attend to home affairs first not foreign affairs. Alafu wazungu wataacha kutudharau kweli

Eti waipeleke mbele game ya liverpool na madrid kwa sababu tu rais wa uefa akashuhudie mechi zetu za kiafrika, hiyo haitatokea 🤣🤣 wenzetu wanaheshimu sana vya kwao.
 
Eti waipeleke mbele game ya liverpool na madrid kwa sababu tu rais wa uefa akashuhudie mechi zetu za kiafrika, hiyo haitatokea 🤣🤣 wenzetu wanaheshimu sana vya kwao.
Ndio hapo uone kwa wenzetu wanavipa value vitu vyao wenyewe kwanza. Sie huku tunajidharah alafu wakitudharau wao tunaanza kulalamika
 
Mie ndio maana nakubalina kabisa na wazungu kutuita sie manyani. Tuna maamuzi yaki ngese sana.
Motsepe ni rais was caf not uefa...u attend to home affairs first not foreign affairs. Alafu wazungu wataacha kutudharau kweli

Mkuu waafrika wenyewe kabisa bila shuruti tumejikubalisha kuwa dhalili kwa ngozi nyeupe. halikua jambo rahisi kwa watu weupe kuwafanya watu weusi watumwa kama si weusi wenyewe kuwa tayari walikua kwenye inferiors situation tuko mwanzo. Waafrica ni watu wa ovyo sana.
 
Ndio hapo uone kwa wenzetu wanavipa value vitu vyao wenyewe kwanza. Sie huku tunajidharah alafu wakitudharau wao tunaanza kulalamika

Tunalialia ooh tunabaguliwa mara tunadharauliwa hahaaa ni hatari kamanda 😂😂
 
Ndio hapo uone kwa wenzetu wanavipa value vitu vyao wenyewe kwanza. Sie huku tunajidharah alafu wakitudharau wao tunaanza kulalamika

Moja ya tukio la ajabu na aibu sana walilofanya waafrica ni lile la kubadilisha kalenda yao ya msimu na kuiga mfumo wa Europe, Ni upuuzi unaodhihirisha upumbavu wetu.
 
Moja ya tukio la ajabu na aibu sana walilofanya waafrica ni lile la kubadilisha kalenda yao ya msimu na kuiga mfumo wa Europe, Ni upuuzi unaodhihirisha upumbavu wetu.

Duh! Ndio maana tuko nyuma kwa kila kitu
 
Al Ahly hilo kombe lina DNA yao, linawajua nao wanalijua vizuri, simply ni ndugu.
 
Yaani waafrica wangese kweli...so kama final ya uefa ndioo ubadiliahe tarehe ya caf final....plus sii ana private jet yake. Hii ni le excuse na proority kwake inatakiwa kuattend caf champions league final sio hiyo ya ulaya
mkuu viongozi wa FIFA nao wanastahili kuwepo kwenye hiyo fainali kwahiyo haiepukiki
 
Back
Top Bottom