Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Umetambua lini kwamba hao wanawake ni majembe?Chadema imepeleka wanawake mahodari sana bungeni.
sijawajau wabunge wa ACT na CUF ila kwa Chedema wamepeleka majembe tupu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetambua lini kwamba hao wanawake ni majembe?Chadema imepeleka wanawake mahodari sana bungeni.
sijawajau wabunge wa ACT na CUF ila kwa Chedema wamepeleka majembe tupu.
Mantiki yangu ni kwamba, hao akina Tendega sio wabunge HALALI wa CHADEMA. Wamepewaje maradaka kwenye kamati ambazo sifa zake lazima mbunge awe anatambulika na chama chake? Ama bado ni tiktak za CCM zinaendelea.PAC na LAAC siyo masuala ya Muungano, kwanini yasimamiwe na wabunge wa kuazimwa toka visiwani? Wabunge wa zanzibar jukumu lao kuu ni kuangalia bajeti ya mambo ya Muungano na Wizara ulinzi inazingatia mambo ya Zanzibar and not otherwise.......!
Haya bhana, sina hoja tenaTumeangalia chama chenye nguvu,kinachotupa changamoto kwenye chaguzi.Its obvious.
Siku siikumbuki ila nachojua mimi Halima Mdee ni dada wa taifa kwasasa na ni kiongozi wa haya majembe ya Covid-19 chini ya baraka za Mwenyekiti wa Ufipa(behind the scene)Umetambua lini kwamba hao wanawake ni majembe?