6WaS9
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 2,562
- 3,028
Kila la kheri mkuuNapenda kuendelelea kusoma zaidi, after that ni kuajiriwa kwa muda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila la kheri mkuuNapenda kuendelelea kusoma zaidi, after that ni kuajiriwa kwa muda.
Sikiliza mwanangu, utakuwa umefanya kosa kubwa sana la kiufundi endapo hutamtafuna binti mwenye nyodo, utalaaniwa na mizimu ya mapenzi mpaka ushangae.Habarini.
Nipo chuo mwaka wa 2, kuna msichana mmoja anapenda sana kusifiwa na wavulana, na kujiona yeye ni bora zaidi. Kuringa kwa sana, majibu na kauli mbovu, dharau, majivuno na kiburi hata kwa waliomzidi umri.
Sasa mimi ni 'mkaksi', nafikiri mnaelewa nikisema hivyo, sasa ameniletea shobo yaani ameniambia ananipenda. Sipendi wasichana wa namna hii nafikiria nimpe jibu gani konki ambalo hatokaa anisahau.
Kama nakosea mniambie.
Ni kwa nia njema tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakazia tena, hizi degree hizi nyingi tunapigwa tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jibu kulingana na sifa yako ya ukaksi na mavazi unayopenda kuvaa.
- suruali za vitambaa zenye marinda :- "ASANTE MUNGU AKUBARIKI"
- suruali za vitambaa zakubana bila malinda: "ASANTE"
- suruali za kadeti "ASANTE ATA MM PIA NAKUPENDA" alafu unampotezea
- jinsi na shati la kubana bana "SAWA NA SHUKURU KWA UPENDO WAKO"
- Jinsi na shati kubwa "POA POA MAMA LA MAMA" alafu unampotezea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kawadanganye wajinga wenzio..wenzio tulikua huko mavyuon miaka7 iliyopita..tena vyuo vikubwa vya nchi hii..mademu kama wote.na tulikua na ma boom100%...plus ni ma handsome wa kwelkwel..ila hatujawai ambiwa nakupenda ma mwanamke mzur anaejiskia...yaan kabisa slay queen wachuo anaejijua ni mzur akufate akwambie nakupenda!.hahahhaa...dogo..hebu kapige nyeto kwanza
Alikuwa na gundu huyo.Hizi comments za huu uzi bhana, mweeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alikuwa na gundu huyo.