Babyloni
JF-Expert Member
- Dec 17, 2020
- 264
- 740
Acha drama dogoNdio kwani unaona ajabu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha drama dogoNdio kwani unaona ajabu?
Au weww ulikuwa unaroga ndipo upendwe na pisi kalm
Uchawi ela na show big bigAu weww ulikuwa unaroga ndipo upendwe na pisi kali?
Kwanza tuanzie hapa...Habarini.
Nipo chuo mwaka wa 2, kuna msichana mmoja anapenda sana kusifiwa na wavulana, na kujiona yeye ni bora zaidi. Kuringa kwa sana, majibu na kauli mbovu, dharau, majivuno na kiburi hata kwa waliomzidi umri.
Sasa mimi ni 'mkaksi', nafikiri mnaelewa nikisema hivyo, sasa ameniletea shobo yaani ameniambia ananipenda. Sipendi wasichana wa namna hii nafikiria nimpe jibu gani konki ambalo hatokaa anisahau.
Kama nakosea mniambie.
Ni kwa nia njema tu
Wana la maana basi, kukaa vijiweni kushauriana ujinga kisha bila kufikiria athari ya kile kitendo yeye anaenda kukitenda..Sasa all that for what?
NITKwanza tuanzie hapa...
Unasoma chuo gani mkuu...
Sasa wenzio hatutoi hela sasa!Uchawi ela na show big big
Bro huamini au? Sawa ulisoma chuo kikubwa cha nchi hii, hata mimi nipo kwenye chuo kikubwa cha nchi hii. Kuhusu pesa, sasa wewe ulitaka demu mkali akushobokee kwa pesa yako ya mkopo?[emoji23][emoji23][emoji23] hiyo haipo, labda ingekuwa ni pesa uliyoitafuta wewe, ni ushamba yaani! Nafikiri ni kwako ndio haijatokea, mimi ndio imekwisha nitokea sasa. Tena bonge la slay queen, na ni handsome hatari yaani!Kawadanganye wajinga wenzio..wenzio tulikua huko mavyuon miaka7 iliyopita..tena vyuo vikubwa vya nchi hii..mademu kama wote.na tulikua na ma boom100%...plus ni ma handsome wa kwelkwel..ila hatujawai ambiwa nakupenda ma mwanamke mzur anaejiskia...yaan kabisa slay queen wachuo anaejijua ni mzur akufate akwambie nakupenda!.hahahhaa...dogo..hebu kapige nyeto kwanza
HongeraSasa wenzio hatutoi hela sasa!
Huyo demu atakua wakawaida sana...kwanza labda tuulize ni chuo gan.usikute ni vyuo vya ufundi..huko kweli ntaamini maana mademu wa huko wanakuaga tayar wameshapitia maisha...sio freshers...unaweza kuta demu keshazaa tayar..etc...Bro huamini au? Sawa ulisoma chuo kikubwa cha nchi hii, hata mimi nipo kwenye chuo kikubwa cha nchi hii. Kuhusu pesa, sasa wewe ulitaka demu mkali akushobokee kwa pesa yako ya mkopo?[emoji23][emoji23][emoji23] hiyo haipo, labda ingekuwa ni pesa uliyoitafuta wewe, ni ushamba yaani! Nafikiri ni kwako ndio haijatokea, mimi ndio imekwisha nitokea sasa. Tena bonge la slay queen, na ni handsome hatari yaani!
Nlkua na maana yangu kuulizia chuo pia nishapata majibu natumai ntakujibu.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu huamini au?Huyo demu atakua wakawaida sana...kwanza labda tuulize ni chuo gan.usikute ni vyuo vya ufundi..huko kweli ntaamini maana mademu wa huko wanakuaga tayar wameshapitia maisha...sio freshers...unaweza kuta demu keshazaa tayar..etc...
Sawa bhana bro! Ila kozi ninayosomea hakuna chuo kikuu TZ wala chuo cha kati kinachoweza kutoa degree bro! Hope umenipata hapo.Nlkua na maana yangu kuulizia chuo pia nishapata majibu natumai ntakujibu.....
Kuna haja ya kujua tofauti ya vyuo vikuu,vyuo vya kati,vyuo vya ufundi nk
Ungekua chuo kikuu ungenielewa vizuri...
Hii nchi ngumu saaana
Isipokuwa ni NIT pekee! Pia kumbuka ni chuo pekee cha Taifa cha usafirishaji, mpaka hapo umeelewa natumai. Je, unataka kufahamu kozi yangu? Huwezi ipata popote degree TZ isipokuwa NIT tu.[emoji23][emoji122][emoji122][emoji122]Sawa bhana bro! Ila kozi ninayosomea hakuna chuo kikuu TZ wala chuo cha kati kinachoweza kutoa degree bro! Hope umenipata hapo.
Kwa nini mkuu?Kama ulipita jkt Nauakika ulikuwa nanga wa demo dogo
Mkuu umejiandaaje kwa kozi yako unayochukuaIsipokuwa ni NIT pekee! Pia kumbuka ni chuo pekee cha Taifa cha usafirishaji, mpaka hapo umeelewa natumai. Je, unataka kufahamu kozi yangu? Huwezi ipata popote degree TZ isipokuwa NIT tu.[emoji23][emoji122][emoji122][emoji122]
Napenda kuendelelea kusoma zaidi, after that ni kuajiriwa kwa muda.Mkuu umejiandaaje kwa kozi yako unayochukua
Kujiajiri au kuajiriwa?