Wale wadada 'wanaojisikia' sana vyuoni

Sikiliza mwanangu, utakuwa umefanya kosa kubwa sana la kiufundi endapo hutamtafuna binti mwenye nyodo, utalaaniwa na mizimu ya mapenzi mpaka ushangae.

Fanya umkubalie mwenzio mtie Propeler kisha lete Mrejesho alaa!

Hawa wa nyodo wanakuwaga watam sana yani.
 
Acha mambo mengi, peleka moto alafu nyodo zitafuatia
 
Nasoma comments za wakulungwa naishia kucheka tu . Kichwani najiuliza, wanaosema amkomoe kwa kumchapa fimbo matata za kimkakati wanajua ni nani anaongelewa. Vipi kana ni mwanao, dada yako au ndugu yako ... 😀

Anyaways. Fanya hima umpelekee moto kisawasawa aache nyodo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hizi comments za huu uzi bhana, mweeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…