Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,512
- 23,925
Kumbe na wew upo humu wife!!!
Mpxiiiu[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe na wew upo humu wife!!!
Au wewe ni mke wangu maana umepita mlemle kuna wakati anapokea simu anaweka loudspeaker halafu anakaaa kimya
Mimi sio kupiga tu hata kupokea sipokei simu za watu na hata sijui ni kwanini, ndugu wote walishanisusa kunipigia simu, hata mtu akiwa na shida anampigia wife aniambie, hata sijui tatizo ni nini?
Na kunawakati unataka hadi kupiga unawaza namwambiaje yaan nilikuwa nakusalimia tuUkweli nimefarijika sana kwamba huu ni udhaifu wa wengi, yani huwa inafika wakati nammisi bimkubwa, nawamiss sana ndugu zangu ila siwapigii simu. Sijui nifanye nini kubadili hii hali
Wewe ni kama mimi mkuu. Hii hali naichukia sanaMwenyewe na kauvivu flani kupiga cm hata sms kumtafuta huwa nasemaga ngoja nitamtafuta Kesho au baadae hapo ndio imetoka...Lkn ikitokea mtu kanipigia au katum sms nakuaga na story nyingi yaani Hadi anasahau kama simtafuteg
Namimi hivyo hivyo mpaka naonekana jau kumbe sio.Aisee kumbe sipo peke yangu, yaani hiyo tabia imenifanya nisihaminike kwa mpenzi wangu akawa anaona kama namsaliti
Mpigie. Wewe ni wakuwekwa makofi mpaka uzirai maana umezidiTupo wengi Mkuu. Kila Mamamkwe anaponipigia simu lazima nitumie dakika tatu mpaka tano naomba msamaha kwa kutompigia simu na kuahidi kujirekebisha. Lakini bado niko vilevile. Wiki ya tatu sasa, rafiki yangu wa damu wa utotoni kapata ajali ya gari na kulazwa hospitali huko Dar. Sijawahi hata kumpigia simu wakati vocha ninayo. Nasoma tu tarifa zake kwenye group letu la WhatsApp!
Hata mim napenda sms zaidi, kwani mtu anakuwa straight kwa points kuliko maneno mengi ya kulaumiana.Huwa sipendi ongea na watu, ila kazi yangu inanilazimu kuongea na mzee 1 karibu kila siku na huwa ananipigia mara nyingi ila nakuwa mvivu kupokea (yeye huwa ananiambia niachie kuweka silence kumbe ni vile naona(ga) shida kupokea
Napenda meseji zaidi kuliko kuongea, kwa ndugu wao ndo hunipigia tofauti na hapo tutakaa hata miaka 2 kimya
Hata mimi hili tatizo ninalo, ngoja nianze kujirekebisha, lkn haya yote yanachangiwa na kuwa na hizi smart phone, tuko bize sana kwenye internet.naamini tungekuwa na simu tochi tungekuwa tunapigiana