Wale wagumu wa kupiga simu tukutane hapa

Wale wagumu wa kupiga simu tukutane hapa

Ase mi nimgumu sana kupiga simu inaweza pita hata mwezi nisipige simu nyumbani au kwa wakwe,jukumu hilo analifanya wife haiwezi pita siku mbili hajapiga simu kwa ndugu zangu na zake wote

Wamesema nahisi wamechoka,
Kuna watu kweli wenye tabia kama zangu
Mimi hapa mwenzio
 
Mwenyewe na kauvivu flani kupiga cm hata sms kumtafuta huwa nasemaga ngoja nitamtafuta Kesho au baadae hapo ndio imetoka...Lkn ikitokea mtu kanipigia au katum sms nakuaga na story nyingi yaani Hadi anasahau kama simtafuteg
Tuko wengi
 
Ase mi nimgumu sana kupiga simu inaweza pita hata mwezi nisipige simu nyumbani au kwa wakwe,jukumu hilo analifanya wife haiwezi pita siku mbili hajapiga simu kwa ndugu zangu na zake wote

Wamesema nahisi wamechoka,
Kuna watu kweli wenye tabia kama zangu
Introverts V/s extroverts..

Ni ngumu sana kuelewana ila ndiyo maumbile yalivyo ukijijua na wakakujua hakuna shida.
 
Mimi hili suala linanitatiza kwa sasa....sina mazoea na mshua....hajanilea kwa kunijengea urafiki na yeye. Mpaka nimefika utu uzima mimi na mshua hatunaga stori kabisa.

Naweza kukaa 2 months sijampigia simu..na yeye hajanipigia pia na nikawa comfortable kabisa.
Atleast you 2 months...Mimi naweza kaa miaka sijaongea na mzee mpaka najihesabiaga sina baba.
 
Ase mi nimgumu sana kupiga simu inaweza pita hata mwezi nisipige simu nyumbani au kwa wakwe,jukumu hilo analifanya wife haiwezi pita siku mbili hajapiga simu kwa ndugu zangu na zake wote

Wamesema nahisi wamechoka,
Kuna watu kweli wenye tabia kama zangu
Uko kama mimi
Mimi ni mgumu sana kupiga simu ukweni
 
Dah nina huu ugonjwa aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumepata mbinu apaa ambayo nimeanza kutumia

Uwa nahakikisha simu ya wife ina Salio bundle na dakika
Sasa kazi ya kuwajulia Hali ni yake [emoji28]
Na wanawake wanapenda
Apa jioni napewa tu report
Leo bamkubwa anaumwa
Mama janeth anabatiza mtoto kesho

N.k at least nna taarifa [emoji28][emoji28]
 
Kwenye haiba za watu kuna makundi mawili. Kuna introverts n extroverts.
INTROVERTS hawa ni watu ambao ki asili maisha yao yako ndani, ni watu wa kuishi ndani tu na sio wepesi kuelezea hisia zao. Anaweza kuwa na jambo zuri kabisa la kushauri ili mfanikiwe lakini hasemi, hupenda kutumia muda mwingi peke ake akifany yanayomuhusu tu na ana amani. Huyu hutamuona mtandaoni sijui fb au insta kifupi maisha yake ni full of paswod.
EXTROVERTS Hawa ni watu ambao maisha yao ni gazeti, akiumwa mafua ntaa mzima watajua, akifurahi au kuchukua wote watajua. Misha yake hayana fence. Ni waongeaji sana sana yani ukipanda nae kwenye daladala Kibaha hadi kkoo tayari atakua kakusimulia kila kitu, alisoma wapi, mkewe yukoje n kila faili atasimulia.
MWISHO Ni vyema kujifunza ku balance haiba zetu. Mtu wa asili y ndani ajifunze kutoka na nje pia mana ana mwili. Na yule mwenye asili y nje basi sisahau pswd maan kuna mambo akiyasema yataharibu
Waathirika wa kupiga Puli ndio mnawaitaga INTROVERTS kwa kitaalam?
 
Tumepata mbinu apaa ambayo nimeanza kutumia

Uwa nahakikisha simu ya wife ina Salio bundle na dakika
Sasa kazi ya kuwajulia Hali ni yake [emoji28]
Na wanawake wanapenda
Apa jioni napewa tu report
Leo bamkubwa anaumwa
Mama janeth anabatiza mtoto kesho

N.k at least nna taarifa [emoji28][emoji28]
Mke wangu ndio kazi yake hiyo,kila siku anawasiliana nao,kuna siku kaniambia Nyumbani wanalalamika wanakupigia simu hupokei nikamwambia nilikuwa mbali na simu baadae muda ukawa umeenda nikaona nisiwasumbue. Ila kashajua huu ni ugonjwa wangu so sometimes anamalizana nao yeye mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sio kupiga tu hata kupokea sipokei simu za watu na hata sijui ni kwanini, ndugu wote walishanisusa kunipigia simu, hata mtu akiwa na shida anampigia wife aniambie, hata sijui tatizo ni nini?
Wewe utakuwa na matatizo aisee, hii ni too much mzee [emoji3]
 
Tupo wengi Mkuu. Kila Mamamkwe anaponipigia simu lazima nitumie dakika tatu mpaka tano naomba msamaha kwa kutompigia simu na kuahidi kujirekebisha. Lakini bado niko vilevile. Wiki ya tatu sasa, rafiki yangu wa damu wa utotoni kapata ajali ya gari na kulazwa hospitali huko Dar. Sijawahi hata kumpigia simu wakati vocha ninayo. Nasoma tu tarifa zake kwenye group letu la WhatsApp!
Kiubinaadam si sawa chief, mcheki jamaa..
 
Huu ugonjwa ni wa wengi. Mi hata kupokea najioneaga tabu inaita hadi inakata alafu baadae nikijiskia natuma sms au napiga. Wakati mwingine nawazaga niuze simu ili nisipigie watu
 
Ase mi nimgumu sana kupiga simu inaweza pita hata mwezi nisipige simu nyumbani au kwa wakwe, jukumu hilo analifanya wife haiwezi pita siku mbili hajapiga simu kwa ndugu zangu na zake wote.

Wamesema nahisi wamechoka,

Kuna watu kweli wenye tabia kama zangu
We mzee kama mimi. Hivi sijui shida ni nini. Mana mimi huwa sipokei simu, shida wanapiga kwa wife afu wife nae ananipa tu ongeaa....hahahahaha mungu atusamehee
 
Ni mimi kabisa [emoji3][emoji3] mpaka ndugu wamesha nizoea
 
Back
Top Bottom