Wale waishio mikoa ya nyanda za juu kusini, tufahamiane hapa

Wale waishio mikoa ya nyanda za juu kusini, tufahamiane hapa

Nipo ilevero makete huku nasaka madini ni shida hii milima
de5e80dda80b19251cf087a9ec938ab5.jpg
 
salaam,
hii ni kwa wale wote waishio mikoa ya kusin kusin....kwa kina kamwene,mwagona,ughonile,mwakata,mapembelo.....nk.tufahamiane jaman.Tafadhali.
Iz mambo za kuwa na mpenz from mbeya to kigoma sijui bukoba au Mara....umepatwa na mihamu yote inaishia njian kwa uchovu wa safari na ukifika lazima utoe penz japo umechoka coz mwenzio nae alikuwa anakusubiri kwa hamu.
Umbali nao ni janga haswa kwenye suala la ndoa...ifikapo harusi bas unajikuta huna ndugu walokusindikiza zaidzaid utawaona wazaz wako,tatizo nini utasikia gharama ya nauli na umbali.

Tafadhali hili ni muhimu sana jaman......hapa hakuna kuogopana ii no sehemu ya maisha yetu. u are welcome
Nzovwe hapa mbembela
 
Back
Top Bottom