Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Sera mbovu za nchi ndio zimetoa hasara hii,Wengi walitegemea bei ingepanda kipindi kile Kenya inayahitaji bei ilikuwa juu shida ikawa mipaka imefungwa mshindi hayatoki,waliporuhusu kutoka nje,wakakuta Kenya ana mahindi ya kutosha baada ya kuagiza kwingine,wakati huo Kenya ni msimu wa mavuno.Pia huku kwetu mvua zinanyesha kuna maeneo wanavuna mahindi. Hivo kupelekea kufurika kwa mahindi. Ni hasara kwa mfanyabiashara faida kwa walaji unga bei chini.
Kidogo sana2017 ninunue mahindi mlowo ya 5m niyatunze nilitaka ninunue kwa 7500@debe1.Mungu ni mwema nikaamua kubadili biashara huku wenzangu wakinicheka sana lakini sasa nawacheka wao na mahindi store wanalipia kila mwezi,walinunua kwa 8200 sasa ni 4500---5500Wengi walitegemea bei ingepanda kipindi kile Kenya inayahitaji bei ilikuwa juu shida ikawa mipaka imefungwa mshindi hayatoki,waliporuhusu kutoka nje,wakakuta Kenya ana mahindi ya kutosha baada ya kuagiza kwingine,wakati huo Kenya ni msimu wa mavuno.Pia huku kwetu mvua zinanyesha kuna maeneo wanavuna mahindi. Hivo kupelekea kufurika kwa mahindi. Ni hasara kwa mfanyabiashara faida kwa walaji unga bei chini.
Namshukuru Mungu huku kwetu Sasa kilo ya unga 600...Hii yote ni kwa sababu ya kufunga mipaka, eti mahindi yasiende Kenya.
Tatizo mwaka jana hatukuweka maneno ya hakiba....unga ulifika kilo 3000...hivi lawama alipewa Nan?...na mbeba lawama tulitegemea afanye nn?
hahaha majanga jaman !huku 1000/Namshukuru Mungu huku kwetu Sasa kilo ya unga 600...
kuna ukweli hapa?Mbeya huko Mlowo debe ni 5000 ( kwa hiyo kilo 100 haizidi 30000)
Yes no uhakika kabisaaa!!!kuna ukweli hapa?
Mkuu bei ya elfu 75 inapatikana wapi?E bhana biashara ya mahindi kwa msimu huu ni majanga uku....Mimi binafsi nlinunua sh 90 elf gunia kg 120 lkn nmelazmika kuuza sh 60 hadi 75 elfu @ gunia
Kwa iyo nmepata hasara ya 17% iv kwa mzigo wote...alafu cha kushangaza uku kishapu-shinyanga hali ya mazao ni nzur xn kuliko miaka 2 ilopita
Mkuu kuwa makini kuna dawa feki unaweka dawa lakini wadudu bado wanaendelea kupekecha tu...Aisee hapa nilipo nimeanza kurudia kipiga dawa.kwani kuza ni kichefuchefu,kusaga unga hautoki kama mwanzo mbaya zaidi wadudu wameanza kupecha
Morogoro kulikuwa na shirika moja wanaitwa Tuboreshe Chakula, wanasaidia wakulima kutafuta masokomorogoro naskia gunia ni 53000/= mwaka jana lilifika laki 1 !hatari tupu !na mwaka huu dalili ya chakula kuwa kingi ipo kwa mvua hizi !
Be Serious Kweli Kuna Mkate Wa SembeHata bei ya unga iko chini,
kwahiyo labda wabuni mbinu ya kutengeza mikate ya unga wa sembe,keki,maandazi etc.
Kinachotakiwa ni innovation tu kugundua kiungo cha kuufanya mkate wa sembe uwe mkate kweli kweli
Kuwa Mwelewa Mkuu , Amesema Hana Mtaji Wa Kununua MachineNi wakati umefika wa kuongeza thamani ya mazao kwa kuanza biashara ya kukoboa na kusaga mahindi ili uuze unga na pumba