Wale wakusema Tanzania inalisha Kenya

Serikali ya jubilee inatesa wananchi wake kisa some funds for nonsensical virus
Serikali yao wamefanya corona their mega project for attracting foreign aid na loans.
 
Hahahaha
 
Reactions: Oii
Hivi ukienda dukani kununua mchele kisha ukaenda kupika na kula, hapo umejilisha mwenyewe au umelishwa na aliyekuuzia mchele?
Utakuwa umejilisha mwenyewe...lakini je mchele ukikosekana dukani utakula mawe??
 
Iko proved mara hazihesabiki bila mtanzania kujituma mkenya anakufa njaa
 
Hata usibonge maana hata Mexico wanawalisha mahindi hahha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…