Bottas
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 1,817
- 1,142
Baadhi ya wabongo wengi wasiokuwa informed kina joto la jiwe@geza ulole etc wanaishi wakisema Tanzania inalisha Kenya kwa kila kitu. Swali langu ni juu Kenya ilifunga mpaka mwezi ulio Isha tunakula mawe?maisha ina endelea kama kawaida huku na mwenye hela chakula kiko kingi. So next time you think that you feed us think twice.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app