Exy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 3,146
- 5,520
Hebu taja timu moja Kati ya hizo mpaka ilipo Simba Kama Kuna timu haina kombe la Caf!!.Unamaanisha aliye namba moja kwenye rank alifika hapo bila zawadi zilizotokana na mashindano yaliyompa point za kufika hapo?