Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 15,692
- 23,038
- Thread starter
- #21
Richard narudia ww ni mbabaishaji, hii mechi ya leo umehamasika baada ya hizi promo ila huna ujualo kuhusu soka. Ww nakufananisha na wale wakristo au waisilamu wanaoenda ibadani siku ya xmas au Idd na kujifanya wanajua sana ibada.
Naona leo umeamaua kunishambulia!
I still like you though.