Wale Wanasimba SC Wanafiki kama Haji Manara na mliokuwa mkimtetea wakati wenye Akili tulishamshtukia mnahama nae au?

Wale Wanasimba SC Wanafiki kama Haji Manara na mliokuwa mkimtetea wakati wenye Akili tulishamshtukia mnahama nae au?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Wengine tulikuja na Threads za kila aina hapa JamiiForums za Kumsema Haji Manara huku tukiwa na Taarifa za Kutosha tu kuwa alikuwa ni Msaliti ndani ya Simba SC tukadharaulika na Kupuuzwa hatimaye leo tumegeuka kuwa ni Mashujaa na huenda hata tunastahili Tuzo za Heshima.

Haya wale wana Simba SC Wanafiki na mliokuwa mkimtetea mno Haji Manara na Kunishambulia / Kutushambulia tuliomshtukia mapema Usaliti wake na Kumkataa je, nanyi Leo hii mtahama nae huko huko Yanga SC au mtabakia Simba SC huku mkipigia Saluti zote The Iron Lady CEO Madame Barbara Gonzalez kwa Ushujaa wake wa Kimafia dhidi ya huyu Mwendawazimu na Mpumbavu?
 
'
IMG_20210824_205938_672.jpg
 
Tumtakie kila la kheri huko aendako
Nilitukanwa na Kudhihakiwa mno hapa JamiiForums nilipokuwa nikimsema Haji Manara na Usaliti wake mpaka kuitwa chawa wa Mo Dewji na Barbara Gonzalez sasa leo nahitaji mniombe Radhi na ikiwezekana huko huko mlipo tu mnipigie Saluti yangu kwa Maono yangu makali na yaliyotimia Jana kwa Mwendawazimu na Mpumbavu kuhamia rasmi Yanga SC.
 
Nilitukanwa na Kudhihakiwa mno hapa JamiiForums nilipokuwa nikimsema Haji Manara na Usaliti wake mpaka kuitwa Chawa wa Mo Dewji na Barbara Gonzalez sasa leo nahitaji mniombe Radhi na ikiwezekana huko huko mlipo tu mnipigie Saluti yangu kwa Maono yangu makali na yaliyotimia Jana kwa Mwendawazimu na Mpumbavu kuhamia rasmi Yanga SC.
Uombwe msamaha kwa ajili ya matendo yako ya chuki?
 
Huu ujinga tulio ufanya Yanga utatugharim sana Yanga, kwani huwezi mwajiri mtu anayeshindwa kuhifadhi siri za taasisi aliyo ifanyia kazi kwani kaeni mkijua kila taasisi ina udhaifu wake.

Najua tulifurahia sana alivyo wavua nguo Simba so kwa ujinga huu tulio ufanya kesho tujiandae na sisi kuvuliwa nguo na kumbukeni Manara kwa sasa haeleweki yupo yupo tu kama sigara kali.
 
Wamchukue tu wanadhani mpira unachezwa mdomoni, nawaona wana timu kali sana, hapa Nugaz pale Manara, lazima kombe la mdomo walichukue, TFF waliandae mapema hiyo ligi ianze.
 
Uombwe msamaha kwa ajili ya matendo yako ya chuki?
Haya Leo hii unayoita Chuki yangu Kwake imekuwa ni ya Faida au Hasara? Je, niliyoyasema yamethibitika au hayajathibitika? Utabakia hivyo hivyo na Ujuha wako.
 
Huu ujinga tulio ufanya Yanga utatugharim sana Yanga,kwani huwezi mwajiri mtu anayeshindwa kuhifadhi siri za taasisi aliyo ifanyia kazi kwani kaeni mkijua kila taasisi ina udhaifu wake.
Kama kuna Wana Yanga SC wachache sana wenye Akili Kubwa na Wanaojitambua basi nawe pia ni Mmoja wao Ndugu.

Umesema hapa Ukweli mtupu japo najua Mashabiki Wenzako Mambwigira wengi wa Yanga SC watakushambulia na wala hawatokuelewa pia.
 
Wamchukue tu wanadhani mpira unachezwa mdomoni, nawaona wana timu kali sana, hapa Nugaz pale Manara, lazima kombe la mdomo walichukue, TFF waliandae mapema hiyo ligi ianze.
Tena kwa Taarifa yao tu sasa waambie kuwa Simba SC bila Msaliti Haji Manara ndiyo inaenda kuwa na Mafanikio makubwa ya ndani na nje ya Uwanja kuliko wanavyodhania Wao. Itunzeni hii Post yangu kwani sijawahi kusema Jambo na kwa 99.999% lisitimie.
 
Kwanza I declare the interest mimi ni shabiki wa mnyama damu, ila kuhusu haji manara huwa nawashangaa sana baadhi ya mashabiki wa simba hasa wanapombeza yule jamaa.

Wengi wanasema mpira sio propaganda unahitaji benchi zuri la ufundi, uongozi etc, lakini kwa miaka hii ya karibuni wengi(sina idadi kamili) wamekuwa wakisema manara anajua kuhamasisha na wamejikuta wamerudi kushabikia mpira wa bongo kutokana na ukubwa wa hamasa ya manara.

Ukweli upo pale pale manara ana nguvu yake, jana kwenye ukurasa wake wa instagram manara ameandika kuwa viongozi wa simba hawamtaki(ndio maana amepokea kazi ya yanga), akiwa na maana kuwa upigaji wake wa hizo so called propaganda ndio ulaji wake na familia yake.

Sasa mtu anasema manara msaliti, na yeye anataka afanye kazi apige pesa, abakie na ushabiki tu ili ninyi mumuone ni shujaa na tumboni hamna kitu. Huo ni upuuzi mtupu. Mimi namtakia kila la kheri manara muhimu tu ajifunze tabia ya kutoa siri ya kampuni yake ya zamani aachane nayo, ila awahamisishe wananchi na wao wafurahi maana walikuwa na huzuni sana watani wetu hawa😀😀.
 
Wengine tulikuja na Threads za kila aina hapa JamiiForums za Kumsema Haji Manara huku tukiwa na Taarifa za Kutosha tu kuwa alikuwa ni Msaliti ndani ya Simba SC tukadharaulika na Kupuuzwa hatimaye leo tumegeuka kuwa ni Mashujaa na huenda hata tunastahili Tuzo za Heshima.

Haya wale wana Simba SC Wanafiki na mliokuwa mkimtetea mno Haji Manara na Kunishambulia / Kutushambulia tuliomshtukia mapema Usaliti wake na Kumkataa je, nanyi Leo hii mtahama nae huko huko Yanga SC au mtabakia Simba SC huku mkipigia Saluti zote The Iron Lady CEO Madame Barbara Gonzalez kwa Ushujaa wake wa Kimafia dhidi ya huyu Mwendawazimu na Mpumbavu?
Watanzania tuwe na ufahamu kidogo, Manara alikuwa mwajiriwa wa Simba, kabebeshwa lawama za uongo katimuliwa. Mlitaka asifanye tena kazi, kumbuka alikuwa anafanya kazi na GSM hata akiwa Simba. Wanamshtumu kwa usaliti, ukiwauliza ni usaliti upi haswa ,hawana majibu. Kazi yake ni usemaji, hata nyie mkiweka tofauti zetu pembeni mkampa mkataba mzuri atarejea.
 
Huu ujinga tulio ufanya Yanga utatugharim sana Yanga, kwani huwezi mwajiri mtu anayeshindwa kuhifadhi siri za taasisi aliyo ifanyia kazi kwani kaeni mkijua kila taasisi ina udhaifu wake.

Najua tulifurahia sana alivyo wavua nguo Simba so kwa ujinga huu tulio ufanya kesho tujiandae na sisi kuvuliwa nguo na kumbukeni Manara kwa sasa haeleweki yupo yupo tu kama sigara kali.
Hii kitu inashangaza sana usipoiangalia kwa jicho la unazi. Athumani Kihamia kaamua kukaa pembeni ameona ni ujinga.
 
Watanzania tuwe na ufahamu kidogo, Manara alikuwa mwajiriwa wa Simba, kabebeshwa lawama za uongo katimuliwa. Mlitaka asifanye tena kazi, kumbuka alikuwa anafanya kazi na GSM hata akiwa Simba. Wanamshtumu kwa usaliti, ukiwauliza ni usaliti upi haswa ,hawana majibu. Kazi yake ni usemaji, hata nyie mkiweka tofauti zetu pembeni mkampa mkataba mzuri atarejea.
We ndo mwenye ufahamu mdogo pengine kuliko wote. Na huenda hujui miiko ya kazi.

Sasa kama unasema alikuwa na ajira GSM na Simba SC, iweje kuwa na ajira ya namna hiyo?

Inawezekana vipi kuajiriwa Tigo halafu ukawa na Vodacom?
 
We ndo mwenye ufahamu mdogo pengine kuliko wote. Na huenda hujui miiko ya kazi.

Sasa kama unasema alikuwa na ajira GSM na Simba SC, iweje kuwa na ajira ya namna hiyo?

Inawezekana vipi kuajiriwa Tigo halafu ukawa na Vodacom?
Wewe nilishakuzoea na ujinga wako.
 
Huu ujinga tulio ufanya Yanga utatugharim sana Yanga, kwani huwezi mwajiri mtu anayeshindwa kuhifadhi siri za taasisi aliyo ifanyia kazi kwani kaeni mkijua kila taasisi ina udhaifu wake.

Najua tulifurahia sana alivyo wavua nguo Simba so kwa ujinga huu tulio ufanya kesho tujiandae na sisi kuvuliwa nguo na kumbukeni Manara kwa sasa haeleweki yupo yupo tu kama sigara kali.
Huyu mpuuzi bora hata angeenda zake Azam huko! Ila siyo Yanga. Alitukejeli sana mpuuzi mmoja yule enzi akiwa ni mbwatukaji wa mbumbumbi fc.

Mbaya zaidi, madongo yake yot yalikua yanapiga kwenye mfupa!! Halafu eti leo ni "mwenzetu"!! Wacha tuitwe tu utopolo! Kwa hiki kitendo cha kumkaribisha Haji Manara, kimedhihirisha baadhi ya viongozi wa Yanga wana ubongo wa kuku.
 
Back
Top Bottom